Ngo, huyu haendi.Wikendi hii nilipata fursa ya kutembela magereza ya Ukonga na Segerea(Segere Màtata) na nilijaribu kuongea na wapangaji wa huko kuhusu ujio wa Kangi Lugora katika magereza hayo.
Wengi walipokea hoja hiyo kwa furaha na wakasema kwamba,alishauri wafungwa wafanyishwe kazi za suluba za uzalishaji mali na ikibidi kupigwa mateke katika mashamba.
Pia wanasema alipunguza bajeti ya magereza na sasa wanaishi kwa tabu, na wakasema sasa aende akaonje adha ya uamuzi wake.
Wameshauri awe anapanda ile land cruiser ili ahenye kutokana na mwili alio nao na wengine wakashauri afungwe harakaharaka kama Mh Rais anavyopenda mambo yaende fasta ili wamkabidhi pori la kufyeka na kulima kwa jembe la mkono
Lugola haendi Gerezani, faili litakaa kwa DPP hadi kesi itapoa kama siyo kusahaulika au watafanya plea-bargain 'itangazwe' amelipa kiasi kadhaa.
Hakuna anayejua undani wa hili sakata, 1 trillion walizosaini kwani wamewekewa wao kwenye akaunti zao? Kwa kauli ya Rais ni kutofata utaratibu wa kuidhinishwa na Bunge, mazingira ya kulipiwa accommodation basi. Possibly anaweza lipa pesa za posho kama zilitoka nje ya utaratibu wa kawaida (hiyo ndiyo gharama yake ya kuhujumu uchumi).
CCM NI ILE ILE....
Sema ungekuwa mchaga angekuwa ndani au mmeru bora ni kanda ya ziwa atapeta huru huyo
CCM haiwezi kumupeleka gerezani huyo mwenzaoWikendi hii nilipata fursa ya kutembela magereza ya Ukonga na Segerea(Segere Màtata) na nilijaribu kuongea na wapangaji wa huko kuhusu ujio wa Kangi Lugola katika magereza hayo.
Wengi walipokea hoja hiyo kwa furaha na wakasema kwamba, alishauri wafungwa wafanyishwe kazi za suluba za uzalishaji mali na ikibidi kupigwa mateke katika mashamba.
Pia wanasema alipunguza bajeti ya magereza na sasa wanaishi kwa tabu, na wakasema sasa aende akaonje adha ya uamuzi wake.
Wameshauri awe anapanda ile land cruiser ili ahenye kutokana na mwili alio nao na wengine wakashauri afungwe harakaharaka kama Mh Rais anavyopenda mambo yaende fasta ili wamkabidhi pori la kufyeka na kulima kwa jembe la mkono
Hiyo kulipwa "accomodation ya US$ 800" kwani walitakiwa kulala uwanja wa ndege? Miaka ya 2004 rudi nyuma niliwahi kuhudhuria Board meeting ya PRIDE Tanzania, posho ya kikao ilikuwa US$ 500 hiyo ni nje ya gharama za hotel sasa kwenye nchi wa watu kulipa US$ 800 kwa "Night moja" mbona ya kawaida tuu hiyo.Lugola haendi Gerezani, faili litakaa kwa DPP hadi kesi itapoa kama siyo kusahaulika au watafanya plea-bargain 'itangazwe' amelipa kiasi kadhaa.
Hakuna anayejua undani wa hili sakata, 1 trillion walizosaini kwani wamewekewa wao kwenye akaunti zao? Kwa kauli ya Rais ni kutofata utaratibu wa kuidhinishwa na Bunge, mazingira ya kulipiwa accommodation basi. Possibly anaweza lipa pesa za posho kama zilitoka nje ya utaratibu wa kawaida (hiyo ndiyo gharama yake ya kuhujumu uchumi).
CCM NI ILE ILE....
Hawezi ukiona still yuko uraiani hadi sasa jua limepita hilo.Wa kufungwa hawezi achwa uraiani kwanza ndani kisha ushahidi ndo unatafutwa tena kwa kusuasua ili uoze ndani kwanza mambo yako yakishavurugika nje mfano mke kakimbia,biashara zimekufa,watoto wameshasambaratika ndio unaachiwa kwa maagizo ya DPP,ili uanze upya hii inaitwa kunyooshwa etiAkishindwa kuchanga karata zake..jamaa wanamfunga kweli ohooo
Nafasi ipo kusave sooo!!
CCM oyeee!!
Simuombei Mabaya Kangi Lugola. Hakuwa Kiongozi mbaya. Anjali kazini Yote yatakwishaWikendi hii nilipata fursa ya kutembela magereza ya Ukonga na Segerea(Segere Màtata) na nilijaribu kuongea na wapangaji wa huko kuhusu ujio wa Kangi Lugola katika magereza hayo.
Wengi walipokea hoja hiyo kwa furaha na wakasema kwamba, alishauri wafungwa wafanyishwe kazi za suluba za uzalishaji mali na ikibidi kupigwa mateke katika mashamba.
Pia wanasema alipunguza bajeti ya magereza na sasa wanaishi kwa tabu, na wakasema sasa aende akaonje adha ya uamuzi wake.
Wameshauri awe anapanda ile land cruiser ili ahenye kutokana na mwili alio nao na wengine wakashauri afungwe harakaharaka kama Mh Rais anavyopenda mambo yaende fasta ili wamkabidhi pori la kufyeka na kulima kwa jembe la mkono