Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,204
- 7,892
Itazizima kuelekea wapi??
Wenzako wanaweka picha halisi wewe unakuja na vikatuni vyako hapa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itazizima kuelekea wapi??
Kwa masikitiko makubwa sana naomba nikupatie majibu yako kuwa vipimo vinaonyesha umeathirika huko kunako tigo, hivyo wewe ni bwabwa. Kwaheri na nakutakia maisha mema ya kuwa mke
Wenzako wanaweka picha halisi wewe unakuja na vikatuni vyako hapa!!
Mwambie bi mkubwa afunge kichau kula hukohuko manake hawa jamaa nasikia wamejipanga ukishapiga kura urudi nyumbani majibu utayapata huko huko kama sio wizi ni nini.
Usilazimishe hoja na kutafuta uhalali sema hiyo shule ni ya wapi na wewe umechangia niniView attachment 256360
Hamasa ni kubwa mno. Mwaka wa kuhitimisha empire ni huu.
Daktari ameshakabidhiwa dhana za kazi.
Sasa ulitaka majibu nani akuletee kura umepiga mwenyewe na majibu uletewe we mzembe kweli?
Jibu swali wewe unayeleta dharau kwa kudanganya umma,huyo rais wenu mmemwapishia wapi??au chini ya mwembe?
We unamtaka nani awe mwenyekiti?
Huyu Ni Rais Anaesubili Kuapishwa Tu Hata Wewe Unajua Ila Unajifanya Kijitoa Ufaham, Yani Kama Ni Tim Bas Ilishatangaza Ubingwa Bado Kukabidhiwa Ubingwa Tu,
Hujaelewa mdau enzi za mwalimu watu walikuwa wanapiga kura na zinahesabiwa sasa watu walikuwa wakilinda ili wasiongeze masanduku mengine ya kura ila kwa sasa kuna mfumo wa kisasa waki electronic sasa watakuambia unalinda nini wakati kura zinajihesabu zenyewe sasa hapo ndipo yale magari 700 waloyoagiza yatakapopata kazi ya kufanya,na hapo ndipo jamaa wa I.t wa ccm watakapofanya yaao.
Kamanda ondoa "dhana" weka zana,hilo neno sio Kiswahili sanifu hapo ulipolitumia.
Hivi pale lumumba wanajickiaje
Leo zoezi la kuandikisha ni mapumziko hadi kesho,sasa Leo atakagua zoezi Wapi?
Yeh teh teh teh huyo ndo msemaji chotara anababaisha kiwango duni na hajielewi huyo!