QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Mapokezi ya Viongozi wa CHADEMA yametia fora na kuacha gumzo ktk mitaa ya Dodoma, kweli nchi itachukuliwa very soon! MAKAMANDA WANAKUBALIKA PANDE ZOTE!
Picha, Ahadi ni deni
Mapokezi ya Viongozi wa CHADEMA yametia fora na kuacha gumzo ktk mitaa ya Dodoma, kweli nchi itachukuliwa very soon! MAKAMANDA WANAKUBALIKA PANDE ZOTE!
Mapokezi ya Viongozi wa CHADEMA yametia fora na kuacha gumzo ktk mitaa ya Dodoma, kweli nchi itachukuliwa very soon! MAKAMANDA WANAKUBALIKA PANDE ZOTE!
Wasio na ajira wala kazi za kufanya Tanzania hii tuko wengi mno. Wenzenu posho za Ubunge zinaanza kurindima kuanzia leo ninyi mnaandamana kuwapokea huku mkipiga miayo wala hamjui jioni ya leo mtakula nini!
Wasio na ajira wala kazi za kufanya Tanzania hii tuko wengi mno. Wenzenu posho za Ubunge zinaanza kurindima kuanzia leo ninyi mnaandamana kuwapokea huku mkipiga miayo wala hamjui jioni ya leo mtakula nini!
Taarifa zilizo rasmi, zitokanazo na matangazo ya gari la CDM, wanachama wa CDM wote wanatakiwa kujitokeza kwa wingi kuwapokea wabunge wa chadema wakiongozwa na Mwenyekiti Mh.freeman Mbowe..waheshimiwa hao wanahudhuria katika vikao vya bunge la budget. Msafara wategemea kuwasiri majira ya saa 7 mchana. Pindi watapowasili habari picha zitafuata! Pipozzzzzzyzzz...
Hakika aliyeshiba hatambui uwepo wa wenye njaa!!!! Wewe unayetaka watu wasiandamane nahisi hujajitambua (ueledi wako mdogo) na hauko tayari kuwaamsha watanzania wenzako kulikwamua taifa toka ufisadi wa Magamba!! Mh Mkapa alijitahidi sana na hata wakipato cha chini hakulalama. Serikali hii kichefuchefu tumeichokaaa. Ni lipi jipya tangu kuondoka kwa Ben??? UDOM, Uwanja mpya, Madaraja na uchumi usiotetereka Ben alifanya!!! Kikweta amebakiaaa na semina elekezi na kujivua gamba!
Watanzania wajitambua zaidi kupitia chadema!!!!!!!!!!!!!!
Kwa hiyo mtajikwamua kwa kuandamana, Kujikwamua ni kufanya kazi tu. acheni kudanganya watu. stupid.
Kwa hiyo mtajikwamua kwa kuandamana, Kujikwamua ni kufanya kazi tu. acheni kudanganya watu. stupid.
Kwa hiyo mtajikwamua kwa kuandamana, Kujikwamua ni kufanya kazi tu. acheni kudanganya watu. stupid.
hakika aliyeshiba hatambui uwepo wa wenye njaa!!!! Wewe unayetaka watu wasiandamane nahisi hujajitambua (ueledi wako mdogo) na hauko tayari kuwaamsha watanzania wenzako kulikwamua taifa toka ufisadi wa magamba!! Mh mkapa alijitahidi sana na hata wakipato cha chini hakulalama. Serikali hii kichefuchefu tumeichokaaa. Ni lipi jipya tangu kuondoka kwa ben??? Udom, uwanja mpya, madaraja na uchumi usiotetereka ben alifanya!!! Kikweta amebakiaaa na semina elekezi na kujivua gamba!
Watanzania wajitambua zaidi kupitia chadema!!!!!!!!!!!!!!