Mapokezi makubwa yaandaliwa Dom kwa Mbowe na Wabunge wa CHADEMA

Hongereni watu wa dodoma,nguvu ya uma ipo nyuma yenu kote Tanzania,mkoloni mweusi hana Nafasi tena katika jamii ya mtanzania.VIVA CHADEMA
 
wabunge wa chadema na chama chao wanapewa support kubwa na sisi wananchi na hata awatataka kuchukua posho na mishahara pia wanachi wanauwezo wa kuwahudumia kwa kuwachangia hata shilingi elfu tano tano au hata mia tano mia tano na bado wakapata mshahara kutoka kwa wananchi nainawezekana kabisa ndugu
 
Gakurito, Picha ni muhimu sana sana katika kunogesha habari hii !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:majani7::majani7::majani7::majani7::majani7:
 
Umaskini wowote ni mbaya kabisa, lakini umasikini wa mawazo ni kichefuchefu. All you know is kula na kuvaa tu, expression of moral appreciation and support inahitaji uwe na Benz ama upate Lunch Holiday Inn? Haihitaji yote hayo kuunga mkono suala unaloliamini. By the way sehemu kubwa ya umma wa watanzania ni wapiga miayo na watembea na ndala.
Ikiwa hali ndio hiyo, mnawasumbulia nini Watanzania masikini hawa hata mnapokuwa mnakwenda kwenye shibe ya peke yenu Bungeni? Mapokezi ya Arusha hayakutosha? Mbona mlibebwa kabisa?
 
Taarifa zilizo rasmi, zitokanazo na matangazo ya gari la CDM, wanachama wa CDM wote wanatakiwa kujitokeza kwa wingi kuwapokea wabunge wa chadema wakiongozwa na Mwenyekiti Mh.freeman Mbowe..waheshimiwa hao wanahudhuria katika vikao vya bunge la budget. Msafara wategemea kuwasiri majira ya saa 7 mchana. Pindi watapowasili habari picha zitafuata! Pipozzzzzzyzzz...

sababu za kiinteligensia bado hazijatolewa rasmi kusitisha mkusanyiko wa watu zaidi ya wawili?
 
Mnaigeuza CHADEMA kuwa bendi ya muziki. Boys to Men, The Beatles, FM Academia, KandaBongoman,....., mapokezi kila mahala!

Magamba utawajua tuu wanaumia, mashuja wanaingia mjengoni kukutetea wewe mnyonge usiyejijua.
 
mwaka huu! Magamba watajibeba wao si walikuwa wanaandamana kuunga mkono hotuba za jk siku hizi vipi? Si walikuwa wanapelekwa kushabikia mipasho ya jk ka siku ile akiwapasha wafanyakazi diamond, leo wamepoteza mvuto na mn'garo wenzao wakifanyiwa yale waliokuwa wakifanyiwa na watz walewale maskini na wasio na ajira wananuna waache wivu wa kike ni zamu yao CDM. Hivi si mlisema hiki ni chama cha msimu sasa chama cha msimu kinawawangisha hadi mnatumia mihimili yote ya dola kupigana na cha cha msimu kweli kazi mnayo
 
Je vijana wa UDOM wapo mstari wa mbele maana ndo tunaowategemea kuwaaibisha magamba?
 
Taarifa zilizo rasmi, zitokanazo na matangazo ya gari la CDM, wanachama wa CDM wote wanatakiwa kujitokeza kwa wingi kuwapokea wabunge wa chadema wakiongozwa na Mwenyekiti Mh.freeman Mbowe..waheshimiwa hao wanahudhuria katika vikao vya bunge la budget. Msafara wategemea kuwasiri majira ya saa 7 mchana. Pindi watapowasili habari picha zitafuata! Pipozzzzzzyzzz...
<br />
<br />
Kaka iyo kitu itaanzia mahali gani? Ili nijue nafikaje huko.
 
Wasio na ajira wala kazi za kufanya Tanzania hii tuko wengi mno. Wenzenu posho za Ubunge zinaanza kurindima kuanzia leo ninyi mnaandamana kuwapokea huku mkipiga miayo wala hamjui jioni ya leo mtakula nini!

umenifurahisha sana angalau unatambua kwamba chini ya utawala wa serikali ya ccm wananchi wanapiga miayo na kutokujua watakula nini


hivyo basi ..wananchi hawataki tena kuganga njaa ..... ccm is in a list of missing in action
 
Wasio na ajira wala kazi za kufanya Tanzania hii tuko wengi mno. Wenzenu posho za Ubunge zinaanza kurindima kuanzia leo ninyi mnaandamana kuwapokea huku mkipiga miayo wala hamjui jioni ya leo mtakula nini!

I'm afraid utaniambia kwamba POSHO hizo nono zimewekwa na CDM. Pia huo umasikini wa mtu kutojua mlo wake kwa siku pia umeletwa na CDM.

Lakini wananchi sasa wanafahamu hayo madhila yote hayakuletwa na CDM, bali yameletwa na Chama Cha Magamba (CCM). The only way out ya kuondokana na madhila hayo ni kui-VOTE OUT CCM. No wonder wananachi wako tayari kwenda kuwapokea viongozi wa CDM because from CDM wananchi can see the LIGHT AT THE END OF THE TUNNEL. Lakini for CCM is completely darkness.

Waache wananchi wa-decide their destiny!
 
Subiri tu hizo picha za mapokezi zitoke. Wengine hata ndala miguuni hakuna. Tena sehemu yenyewe Dodoma kwa akina Matonya?

ni kweli!! kutokuwa na ndala miguuni ni sera ya CCM ili iwe na mtaji wa kura...

umasikini uliokithiri ni side effect na actual characteristics za mahali pooote ambapo CCM imekubalika!!

umasikini na CCM ni lila na fila havitangamani.....

saa saba mchana huu sasa tunaelekea ihumwa kumpokea kamanda mbowe!!

viva chadema
 
wakuu niko hapa nyerere square kuna waendesha pikipiki wanapeleka watu viwanja vya barafu
 
I'm afraid utaniambia kwamba POSHO hizo nono zimewekwa na CDM. Pia huo umasikini wa mtu kutojua mlo wake kwa siku pia umeletwa na CDM.

Lakini wananchi sasa wanafahamu hayo madhila yote hayakuletwa na CDM, bali yameletwa na Chama Cha Magamba (CCM). The only way out ya kuondokana na madhila hayo ni kui-VOTE OUT CCM. No wonder wananachi wako tayari kwenda kuwapokea viongozi wa CDM because from CDM wananchi can see the LIGHT AT THE END OF THE TUNNEL. Lakini for CCM is completely darkness.

Waache wananchi wa-decide their destiny!
CHADEMA yetu inaelekea kufanya mambo kwa staili ileile ya CCM ya maandamano kwa kila kitu. Hamtakuwa tofauti mkipewa NCHI.
 
Wakuu nasikia harufu ya mabadiliko.... roho inanidunda ---- Freedom is comming soon....
 
Wasio na ajira wala kazi za kufanya Tanzania hii tuko wengi mno. Wenzenu posho za Ubunge zinaanza kurindima kuanzia leo ninyi mnaandamana kuwapokea huku mkipiga miayo wala hamjui jioni ya leo mtakula nini!
Ndio maana wanaandamana kwa vile sasa wanatumaini jipya. Ukombozi wanauona kwa mbaalii
 
Wakuu nasikia harufu ya mabadiliko.... roho inanidunda ---- Freedom is comming soon....
Mabadiliko yataletwa na WATANZANIA wenyewe. Hivi vyama vya siasa vipo kiruzukuruzuku tu. Ukiondoa ruzuku hakuna chama kitabaki.
 
Back
Top Bottom