Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 9,724
- 10,801
Nimemsikitikia Tulia Axon,akipoteza bahati hivi hivi kwa weusi wakeNipo huku Mbeya wanawake weusi wanalalamika sana kuwa tarehe 28 lazima wamuondoe huyu muovu ambaye hata wasikiliza
Nimemsikitikia Tulia Axon,akipoteza bahati hivi hivi kwa weusi wakeNipo huku Mbeya wanawake weusi wanalalamika sana kuwa tarehe 28 lazima wamuondoe huyu muovu ambaye hata wasikiliza
Tuliaaaaah ..... MKUU.Dawa inafanya kazi polepole,UTAPONA TUNdio Kawaida yenu kuwa na Misemo yakujazano Upepo tu kwa Vibendera Wenzie
Lakini Ukweli utabakia pale pale Huyo Hata 20% hatapata na Urais Atausikia tu JF kwa Vibendera wenye ID kumi kumi
NI YEYEKwanza hapo siyo Chato. Pili sijui mnaangaika na nini wakati mshindi wa uchaguzi huu tayari ameishajulikana ila anatubiri kuapishwa tu.
Unachobisha nini si uende yotube ukaangalie mnabishana mpaka na visivyobishikaHapana acha uongo hiyo picha siyo ya chato acha kupotosha Lissu aliingia chato jion sana na mda ulikuwa umeenda haikuwa mchana kama ilivyo kwenye picha hiyo kawadanganye wajinga wenzio huko na mambo yenu ya kutumia picha za sehemu zingine
Mjusi kafiriNgoja nitafakari isije kuwa huyu Antipas anatumia kizizi!View attachment 1599448
Kama kawio la uongo la twiga kampeni lililotolewa Jana.Picha za uongo mnatuletea hivi mnadhani kila mtu ni mshamnba
Ni mwizi wa kura ndiyo maana alipata 95% mwaka 1995. Mwaka huu chupi zitawabana, hapo hapo Chato Lissu atavuna 80% ya kura za Urais. Geita ndiyo usisemeWewe Jamaa ni mpuuzi kweli rejea uchaguzi wa Mwaka 2015, mtu ambaye hakubariki kwao anaweza kupata zaidi ya 95% ya kura zilizopigwa.
Mtu ambaye hakubariki anaweza kupata madiwani wote kutoka kata 17 .
Yaani tarehe 28/10/2020 ndiyo muone nini kitatokea .