Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani naombeni mnipokee nijisikie nipo nyumbani tena sebuleni.
Mkaribishe tu!Duh!yaani wewe bonge la msanii,umeingia siku nyingi na umeandika posti nyingi alafu unaomba tukupokee kivipi?unaingia alafu unapiga hodi!wewe ni kabila gani?je huu ndiyo utaratibu wa kabila lenu?
karib sana husninyo. tumefrahi sana kukuona umejiunga na sisi. PM maana yake ni Private Message.
asante na karib
nimemiss kukukaribisha kweli aisee. halaf nina kazawadi kako. hivi kaizer ameshaondoka dom?ha ha ha!
We mhadhiri leo una matatizo gani kwenda kufufua masredi ya kale.
Lol!
Haya ahsante.
Hivi ban, invisible, maxence melo nazo maana yake nini?
hii kaizer inanitafta ubaya sasa, na wewe inaonekana unafurahia aendelee kuwepo! haka kazawadi nitampa keren happuch ujue.kaizer ameweka kambi aisee!
Dah! Mwalimu unataka kunipa zawadi ya masalio ya mabomu.
Dah!
uskuwe na hasira, natania tu bana. kazawadi tayari nimekaseal na jina lako. halaf nimependa sana hizi font zako. khaaa!dah, sawa tu. Na mimi siji tena darasani.
deal signed. njoo lab sasausisahau kukapulizia na pafyum. Hakikisha inafika huku bado inanukia. Sawa?