Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,472
- 8,504
Nimefuatilia sana picha nyingi zilizowekwa humu JF toka Kigoma wakati wa mapokezi makubwa aliyopewa Mhe. Zitto Zuberi Kabwe.
Cha kushangaza alama za CHADEMA wala sikuziona za kutosha.
Hii inaamnisha nini? Je inawezekana ikawa kwamba waandaaji wa mapokezi yale walisahau bendera na makombati yao ofisini/nyumbani?
Fuatilia picha hizo hapa chini kwa hisani ya: Tema Mate
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nayojiri-kigoma-katika-mapokezi-ya-zitto.html
Cha kushangaza alama za CHADEMA wala sikuziona za kutosha.
Hii inaamnisha nini? Je inawezekana ikawa kwamba waandaaji wa mapokezi yale walisahau bendera na makombati yao ofisini/nyumbani?
Fuatilia picha hizo hapa chini kwa hisani ya: Tema Mate
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nayojiri-kigoma-katika-mapokezi-ya-zitto.html