Kitambazi Abdul
Member
- Aug 8, 2017
- 72
- 84
Kuna wazazi walijiwekea utaratibu wao wa kuchangishana Hela kwa ajili ya CHAKULA kwa watoto wao, Ila baada ya tamko hilo wameacha Kuchangia kwa kusema Raisi amekataza.
Kuna wazazi walijiwekea utaratibu wao wa kuchangishana Hela kwa ajili ya USAFIRI kwa watoto wao, Ila baada ya tamko hilo wameacha Kuchangia kwa kusema Raisi amekataza.
Kuna wazazi walijiwekea utaratibu wao wa kuchangishana Hela kwa ajili ya STUDY TOUR kwa watoto wao, Ila baada ya tamko hilo wameacha Kuchangia kwa kusema Raisi amekataza.
Kuna wazazi walijiwekea utaratibu wao wa kuchangishana Hela kwa ajili ya MOTIVATION (Hamasa kwa wale wanaofaulu Vizuri) kwa watoto wao, Ila baada ya tamko hilo wameacha Kuchangia kwa kusema Raisi amekataza.
Kuna wazazi walijiwekea utaratibu wao wa kuchangishana Hela kwa ajili ya KUSAFIRI KIMICHEZO kwa watoto wao, Ila baada ya tamko hilo wameacha Kuchangia kwa kusema Raisi amekataza.
Nashauri wazazi wenzangu Tuwe tunafafanua Matamshi ya Raisi ili Tuwape amani na furaha watoto wetu...
Kuna wazazi walijiwekea utaratibu wao wa kuchangishana Hela kwa ajili ya USAFIRI kwa watoto wao, Ila baada ya tamko hilo wameacha Kuchangia kwa kusema Raisi amekataza.
Kuna wazazi walijiwekea utaratibu wao wa kuchangishana Hela kwa ajili ya STUDY TOUR kwa watoto wao, Ila baada ya tamko hilo wameacha Kuchangia kwa kusema Raisi amekataza.
Kuna wazazi walijiwekea utaratibu wao wa kuchangishana Hela kwa ajili ya MOTIVATION (Hamasa kwa wale wanaofaulu Vizuri) kwa watoto wao, Ila baada ya tamko hilo wameacha Kuchangia kwa kusema Raisi amekataza.
Kuna wazazi walijiwekea utaratibu wao wa kuchangishana Hela kwa ajili ya KUSAFIRI KIMICHEZO kwa watoto wao, Ila baada ya tamko hilo wameacha Kuchangia kwa kusema Raisi amekataza.
Nashauri wazazi wenzangu Tuwe tunafafanua Matamshi ya Raisi ili Tuwape amani na furaha watoto wetu...