Mapingamizi yaokoa ajira za watu CCM

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,800
Yasingekuwa hayo,muda huu tungekuwa tunazungumza vingine. Mkuu kaagiza ifanywe tathmini juu ya kuporomoka na kupokwa kwa viti vingi kwa CCM katika kila kona ya nchi. Ingawa CCM ina ushindi wa jumla,matokeo haya hayatasahaulika.

CCM imepoteza zaidi ya kupata. Imepunguzwa nguvu hasa strategic areas. Nilipokuwa naripoti toka Mtwara,Lindi,Ruvuma,Iringa,Morogoro na Pwani nilibezwa. Kiko wapi sasa makada wenzangu?

Mapingamizi yametuokoa. Amini nawaambia,katika sehemu zilikopigwa kura,CCM haina wingi wa ushindi. Nyaraka za kiuchaguzi zinazoendelea kumiminika hapa Ofisi Ndogo Lumumba zinathibitisha jambo hilo.

Mkuu kaagiza ifanywe tathmini na kujua tumejikwaa wapi. Kijulikane kilichowachagiza watanzania wafanye walivyofanya. Halafu,hatua zichukuliwe. Na chama kisonge mbele kikisubiri kutetea ubingwa mwakani.

Bila ya mapingamizi,kusingekalika CCM. Asante Mapingamizi kwa kutusitiri!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
Yasingekuwa hayo,muda huu tungekuwa tunazungumza vingine. Mkuu kaagiza ifanywe tathmini juu ya kuporomoka na kupokwa kwa viti vingi kwa CCM katika kila kona ya nchi. Ingawa CCM ina ushindi wa jumla,matokeo haya hayatasahaulika.

CCM imepoteza zaidi ya kupata. Imepunguzwa nguvu hasa strategic areas. Nilipokuwa naripoti toka Mtwara,Lindi,Ruvuma,Iringa,Morogoro na Pwani nilibezwa. Kiko wapi sasa makada wenzangu?

Mapingamizi yametuokoa. Amini nawaambia,katika sehemu zilikopigwa kura,CCM haina wingi wa ushindi. Nyaraka za kiuchaguzi zinazoendelea kumiminika hapa Ofisi Ndogo Lumumba zinathibitisha jambo hilo.

Mkuu kaagiza ifanywe tathmini na kujua tumejikwaa wapi. Kijulikane kilichowachagiza watanzania wafanye walivyofanya. Halafu,hatua zichukuliwe. Na chama kisonge mbele kikisubiri kutetea ubingwa mwakani.

Bila ya mapingamizi,kusingekalika CCM. Asante Mapingamizi kwa kutusitiri!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Mwelezeni ukweli tu kuwa TUMEWACHOKA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Tena wala msipoteze muda wenu na pesa chache za ESCROW zilizobaki,mwambie mapema kwa sasa watuletee zile MACHINE za kichina waone mambo,na safafri hii sijui atalalia wapi maskini,maana zile kura 5,000,000 ,zimeshuka kwa asilimia 30,sasa na wale wapya wataojiandikisha,plusa ile asilimia 30,ongeza na zile kura za wapinzani za 2010,pa kukanyaga hakuna.

Na tunaenda hivi ...PIGA KURA LINDA KURA.................
 
Ha ha ha haa!! Mkuu WAUAJI wenzio huwapi nafasi!!! Ngoja aje Msalani uone atakavyobeza taarifa yako!!

ASANTENI SANA WATANZANIA KWA KUIELEWA "UKAWA"!!
 
Yasingekuwa hayo,muda huu tungekuwa tunazungumza vingine. Mkuu kaagiza ifanywe tathmini juu ya kuporomoka na kupokwa kwa viti vingi kwa CCM katika kila kona ya nchi. Ingawa CCM ina ushindi wa jumla,matokeo haya hayatasahaulika.

CCM imepoteza zaidi ya kupata. Imepunguzwa nguvu hasa strategic areas. Nilipokuwa naripoti toka Mtwara,Lindi,Ruvuma,Iringa,Morogoro na Pwani nilibezwa. Kiko wapi sasa makada wenzangu?

Mapingamizi yametuokoa. Amini nawaambia,katika sehemu zilikopigwa kura,CCM haina wingi wa ushindi. Nyaraka za kiuchaguzi zinazoendelea kumiminika hapa Ofisi Ndogo Lumumba zinathibitisha jambo hilo.

Mkuu kaagiza ifanywe tathmini na kujua tumejikwaa wapi. Kijulikane kilichowachagiza watanzania wafanye walivyofanya. Halafu,hatua zichukuliwe. Na chama kisonge mbele kikisubiri kutetea ubingwa mwakani.

Bila ya mapingamizi,kusingekalika CCM. Asante Mapingamizi kwa kutusitiri!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

tumekusikia mwehu wewe wa ufipa
 
Hivi huu mgao wa umeme ni wa makusudi au ndo maji kidatu na mtera yamepungua? Mwambie kiruka njia maamuzi yake ya kusuasua kuhusu escrow ndio sehemu kubwa yamewagharim
 
Yasingekuwa hayo,muda huu tungekuwa tunazungumza vingine. Mkuu kaagiza ifanywe tathmini juu ya kuporomoka na kupokwa kwa viti vingi kwa CCM katika kila kona ya nchi. Ingawa CCM ina ushindi wa jumla,matokeo haya hayatasahaulika.

CCM imepoteza zaidi ya kupata. Imepunguzwa nguvu hasa strategic areas. Nilipokuwa naripoti toka Mtwara,Lindi,Ruvuma,Iringa,Morogoro na Pwani nilibezwa. Kiko wapi sasa makada wenzangu?

Mapingamizi yametuokoa. Amini nawaambia,katika sehemu zilikopigwa kura,CCM haina wingi wa ushindi. Nyaraka za kiuchaguzi zinazoendelea kumiminika hapa Ofisi Ndogo Lumumba zinathibitisha jambo hilo.

Mkuu kaagiza ifanywe tathmini na kujua tumejikwaa wapi. Kijulikane kilichowachagiza watanzania wafanye walivyofanya. Halafu,hatua zichukuliwe. Na chama kisonge mbele kikisubiri kutetea ubingwa mwakani.

Bila ya mapingamizi,kusingekalika CCM. Asante Mapingamizi kwa kutusitiri!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Mzee Tupatupa wa Lumumba

Amini nakwambia, matokeo haya yamewaimarisha zaidi UKAWA. Of course CCM inaendelea kubomoka. Sipati picha ya minyukano ya ndani ya CCM itakapoanza rasmi baada ya sarakasi na senema za sikukuu hizi zilizopo mbele yetu.

UKAWA wanauliza, penati hii waliyopata dakika ya 90+4, wapige penati ama CCM ikubali goli mechi iishe?
 
VUTA-NKUVUTE ni sawa na mwanamke aliepo katika ndoa huku mahaba yote yakiwa kwa mwanaume wa pembeni.Tunakujua fika kuwa wewe ni mfuasi wa Chadema lakini hauishi kujinasibu kuwa wewe ni mwanachama kindakindaki wa chama pendwa CCM.Wanawake wa aina hii wanapatikana sana sehemu za milima ya Hi.malaya.
 
Last edited by a moderator:
Yasingekuwa hayo,muda huu tungekuwa tunazungumza vingine. Mkuu kaagiza ifanywe tathmini juu ya kuporomoka na kupokwa kwa viti vingi kwa CCM katika kila kona ya nchi. Ingawa CCM ina ushindi wa jumla,matokeo haya hayatasahaulika.

CCM imepoteza zaidi ya kupata. Imepunguzwa nguvu hasa strategic areas. Nilipokuwa naripoti toka Mtwara,Lindi,Ruvuma,Iringa,Morogoro na Pwani nilibezwa. Kiko wapi sasa makada wenzangu?

Mapingamizi yametuokoa. Amini nawaambia,katika sehemu zilikopigwa kura,CCM haina wingi wa ushindi. Nyaraka za kiuchaguzi zinazoendelea kumiminika hapa Ofisi Ndogo Lumumba zinathibitisha jambo hilo.

Mkuu kaagiza ifanywe tathmini na kujua tumejikwaa wapi. Kijulikane kilichowachagiza watanzania wafanye walivyofanya. Halafu,hatua zichukuliwe. Na chama kisonge mbele kikisubiri kutetea ubingwa mwakani.

Bila ya mapingamizi,kusingekalika CCM. Asante Mapingamizi kwa kutusitiri!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Mwambieni wazi tu, zile ahadi zake za uongo za maisha bora kwa kila mtanzania ndizo zinaendelea kuitafuna CCM. Mwambieni kuwa yeye ndiye anayeiua CCM kwa kuwalinda wezi wenzake,yeye akiwa kinara mkuu. Mwambieni tu wala msiogope kuwa elimu butu ya shule za sekondari za kata imesaidia sana maelfu ya vijana kupata mang'amuzi juu ya uraia na utapeli wa CCM. Mshukukuruni sana mkuu na CCM yake kwa kutujengea shule za kata ambazo zimekuwa ni mojawapo la chimbuko la kifo cha CCM.
 
Huyo kiongozi wenu aliyeagiza tathimini ifanyike naye atakuwa robo heka kichwani,kila kitu kipo ubaoni tena kwa herufu kubwa lakini hasomi anaomba asomewe,ubwanyenye gani huo VUTA-NKUVUTE !
 
Last edited by a moderator:
VUTA-NKUVUTE ni sawa na mwanamke aliepo katika ndoa huku mahaba yote yakiwa kwa mwanaume wa pembeni.Tunakujua fika kuwa wewe ni mfuasi wa Chadema lakini hauishi kujinasibu kuwa wewe ni mwanachama kindakindaki wa chama pendwa CCM.Wanawake wa aina hii wanapatikana sana sehemu za milima ya Hi.malaya.
Yap kweli sasa tunaona matunda ya Nape na Mwigulu ya kujaza watu mitandaoni kujibu mapigo. Na cha kuvutia zaidi mnajibu mapigo kwa matusi na si kwa hoja. Hongereni vijana wa ccm kwa uelewa mpana na uwezo mkubwa wa kujenga hoja kwa ushawishi wa matusi.
 
Mzee Tupatupa

Kwa matokeo haya Serikali ya CCM haitaendelea tena na mpango wake wa kupigia kura katiba pendekezwa (ya CCM) hapo Aprili 2015 kwa sababu imetambua kuwa hasira ya wananchi kwa CCM partly imechangiwa na dharau kubwa iliyooneshwa na viongozi wake kwa wananchi. Badala yake itakuja na ule msemo 'serikali ya CCM ni sikivu hivyo kura ya maoni ya katiba pendekezwa itaahirishwa hadi baada ya uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge ili kupata maoni zaidi ya wananchi'.

Endapo kura maoni kwa katiba pendekezwa itafanyika kama ilivyopangwa mwakani, basi CCM ijiandae kisaikolojia kwa sababu hapo UKAWA watakuwa wamepata nafasi upigia msumari wa mwisho wa kuifuta chama tawala na kongwe katika himaya ya kuongoza dola Tanzania.
 
Yasingekuwa hayo,muda huu tungekuwa tunazungumza vingine. Mkuu kaagiza ifanywe tathmini juu ya kuporomoka na kupokwa kwa viti vingi kwa CCM katika kila kona ya nchi. Ingawa CCM ina ushindi wa jumla,matokeo haya hayatasahaulika.

CCM imepoteza zaidi ya kupata. Imepunguzwa nguvu hasa strategic areas. Nilipokuwa naripoti toka Mtwara,Lindi,Ruvuma,Iringa,Morogoro na Pwani nilibezwa. Kiko wapi sasa makada wenzangu?

Mapingamizi yametuokoa. Amini nawaambia,katika sehemu zilikopigwa kura,CCM haina wingi wa ushindi. Nyaraka za kiuchaguzi zinazoendelea kumiminika hapa Ofisi Ndogo Lumumba zinathibitisha jambo hilo.

Mkuu kaagiza ifanywe tathmini na kujua tumejikwaa wapi. Kijulikane kilichowachagiza watanzania wafanye walivyofanya. Halafu,hatua zichukuliwe. Na chama kisonge mbele kikisubiri kutetea ubingwa mwakani.

Bila ya mapingamizi,kusingekalika CCM. Asante Mapingamizi kwa kutusitiri!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Aliyeagiza hayo kwani hajui kuwa Ridhiwani Kikwete aliwahi kutamka kuwa nchi hii haitaoongoza na mtu kutoka kanda ya kaskazini? Sasa EL kafanya kweli mefanikiwa kuparalyse the ccm machinery na wakati huo huo ukawa wakawezeshwa kununua wapiga kura.
 
Hata CHADEMA wamepigwa kwenye ngome zao, MBEYA, MOSHI, IRINGA.
Fanya hesabu vizuri ili ujue 2009 CHADEMA walikuwa na ngapi na leo wamepoteza na kuongeza ngapi. Ukipata jibu utakuwa unajipa matumaini tu. Kumbuka 2009 mlikuwa na 96% ya Local government kwa nchi nzima. Mwaka hata mkipata 98% mmepoteza. so jipe moyo TataMadiba
 
VUTA-NKUVUTE ni sawa na mwanamke aliepo katika ndoa huku mahaba yote yakiwa kwa mwanaume wa pembeni.Tunakujua fika kuwa wewe ni mfuasi wa Chadema lakini hauishi kujinasibu kuwa wewe ni mwanachama kindakindaki wa chama pendwa CCM.Wanawake wa aina hii wanapatikana sana sehemu za milima ya Hi.malaya.

ukweli inauma, ni Mwenda wazimu tu ndie unaweza kupingana na ukweli juu..ccm imeporomoka sana , ccm imepoteza vitu vingi Sana .its up to you. you better swallow the bitter pill or vomit it..
kidogo roho unajisemea lakin ni kweli..ila kichama chama unajiona mpotevu.
 
Last edited by a moderator:
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom