Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,643
- 8,579
Siku ukishindwa usije ukaisema vibaya Mahakama!
Siku ukishindwa usije ukaisema vibaya Mahakama!
Kupitia chama gani?MEMBE ANAKUJA
Linaongea mavi lakini wewe uko macho kodo unalisikiliza! Pumbavu!!
Unaushahidi mkuu au ndo unatumia hoja dhahania!Aliye nyuma ya Musiba ni jiwe unategemea kesi apo?
Kwa nini unaniuliza mimi?
Nilisikia hapo kabla kwamba Corona imeziba masikio ya wasikilizaji wa mahakama, videoconference.
Inapendeza.......Mimi ambaye si mwanasheria nimenufaika na desa hili la LS 105…..kumbe hata First year husoma mambo mazito na mazuri...tehtehtehMkuu naona unatiririka madesa ya LS105 hahaha
Coincidence ya Corona itaahirisha na/au kufuta vitu vingi.Nitakuwa ndiyo kisingizio cha hata kutokusikilizwa kesi kama hizi.Aibuuu yao.Nilisikia hapo kabla kwamba Corona imeziba masikio ya wasikilizaji wa mahakama, videoconference.
Kwa sasa haitasikilizwa kisingizio kitakuwa Corona. Na hata Corona ikiisha kutakuja kisingizio cha mrundikano wa kesi kwa sababu ya Corona hivyo tusiiitegemee kusikilizwa hivi karibuni.
Aisee, wacha tuoneNilisikia hapo kabla kwamba Corona imeziba masikio ya wasikilizaji wa mahakama, videoconference.
Kwa sasa haitasikilizwa kisingizio kitakuwa Corona. Na hata Corona ikiisha kutakuja kisingizio cha mrundikano wa kesi kwa sababu ya Corona hivyo tusiiitegemee kusikilizwa hivi karibuni.