Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Nakumbuka wakati niko Mlimani, mwaka 2002/3 kulitokea Mapinduzi yalishindwa dhidi ya Serikali Halali ya Wanachuo iliyokuwa chini ya Rais Francis Kayombo!
Najiulizaga what was the Motive Behind that mapinduzi na nani waliokuwa Nyuma ya yale Mapinduzi(Ambayo hata hivyo hayakufanikiwa)? Mkuu Waberoya nadhani ulikuwamo katika ile Serikali iliyokoswa koswa kupindulia naomba unitoe Kizani
Najiulizaga what was the Motive Behind that mapinduzi na nani waliokuwa Nyuma ya yale Mapinduzi(Ambayo hata hivyo hayakufanikiwa)? Mkuu Waberoya nadhani ulikuwamo katika ile Serikali iliyokoswa koswa kupindulia naomba unitoe Kizani