Mapinduzi ya Uturuki iwe funzo kwa Tanzania

Tandboy

New Member
Jul 13, 2016
2
2
Hivi karibun tumeshuhudia mapinduz mbalimbali ktk nchi zinazoendelea. Nawatahadharisha wanasiasa wasifanye maamuz bila kuzingatia matakwa, ridhaa na mahitaji ya wananchi.
 
Hivi karibun tumeshuhudia mapinduz mbalimbali ktk nchi zinazoendelea. Nawatahadharisha wanasiasa wasifanye maamuz bila kuzingatia matakwa, ridhaa na mahitaji ya wananchi.
Hivyo vidole ulivyotumia katka typing yako hii vitakuweka mahali pabaya zingatia sheria za mtandao huo ni uchochezi
 
Ww unajiita mwanafunzi,huwa unasoma sa ngp? Maana unakesha jamii forums muda wote

Sawa ndugu nikiona nataka kusoshialaizi, nitaacha kuingia humu na kwenda disco hata za mchana kama zipo nitazitafuta na bar pia.
 
Hivi karibun tumeshuhudia mapinduz mbalimbali ktk nchi zinazoendelea. Nawatahadharisha wanasiasa wasifanye maamuz bila kuzingatia matakwa, ridhaa na mahitaji ya wananchi.
Mmh mapinduz? Kupindua? Au mapinduz yap unayomaanisha? Eti askar wapindue au mbowe?
 
Nakushangaa mtoto wa kiume ukijisifu kwa sura au wewe ni shoga???ni kawaida yenu mashoga kuwachukia baba zenu by the way mimi ni baba yako mzazi na mama yako amenipenda hivi nilivyo na kama ningekua muoga usingepatikana wewe
Punguza ukali wa maneno mkuu hii ndio jf uwe mvumilivu
 
Back
Top Bottom