Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Leo tarehe 12 January ni Sikukuu ya Mapinduzi ya Zanzibar, nachukua nafasi hii kuwatakia nyote heri na fanaka za Mapinduzi na kukutakieni maadhimisho mema ya sherehe ya kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kwa watakao shereheka kwa wale wenye kumbukumbu njema, na kwa vile Mapinduzi Matukufu yale pia yaliandamana na umwagaji damu, natoa pole kwa wenye kumbukumbu chungu.
P
 
Wanabodi,

Nafuatia makala maalum kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 1964, zinazorushwa mfululizo na Idhaa ya KIswahili ya BBC kila siku kuanzia 1:00-1:30.

Katika kipindi cha leo, Mmoja wa askari aliyekuwa zamu ikulu ya Sultani, kwa jina maarufu la Mzee Sukari, anasimulia first hand information kuhusu mapinduzi hayo! akihojiwa na Baruan Muhuza wa BBC. Amekiri kuwa Sultani hakufukuzwa Zanzibar, alikuwa akitafutwa hivyo alitoroka mwenyewe!, na baada ya Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, waarabu hawakufukuzwa Zanzibar, bali walijiondokea wenyewe!.

Huu ni ushuhuda uliotolewa na shuhuda halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambae simulizi yake ni tofauti na urongo mwingi tuliolishwa na maandishi ya mahasidi wa Mapinduzi.

Kesho kutafanyika mjadala maalum kuhusu Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar utakaoanza saa 12:45-1:30.
Baada ya mapinduzi Zanzibar - BBC Swahili - BBC.com
Zanzibar na miaka 51 ya Mapinduzi - BBC Swahili


Siku ya kilele, kutatolewa nishani maalum za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, sijui kama yule shujaa halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Field Marshal John Okello, atakumbukwa!.

Paskali
Leo Tanzania watu wana kimbia nchi.
wengi tu walokimbia nchi kuanza wakati wanyerere hadi huu wa magufuli.
kwanini wakakimbia ? Baada ya kuona mateso na madhila ya nawo wakuta wenziwawo kama wawo.

Sasa waarabu na wahindi walikimbia baada kuona wenziwawo walivyo dhalilishwa, kubakwa na kuuliwa bila ya sababu.
Sababu kubwa rangi zao na Asili zawo.

Hakuna chakukuweka utahama tuu kutafuta usalama wako.
Hata Bwana Mtume Muhammad na wafuasi wake walihama Makkah kwenda madina kwa usalama wawo.
 
Kwa uchache huo ndo maana uarabuni hakuba waarabu weusi kwakuwa waliopelekwa walikuwa wachache,Adamu na hawa walikuwa wawili lkn dunia leo umejaa watu hao waliopelekwa huko uarabuni walikuwa wachache kuliko adamu na hawa?.
 
Wewe ni Mwarabu au Mzungu? 😂😂😂😂😂😂😂 Au umeolewa na yupi kati ya hao?


Pasco tatizo lako wewe ni ktk wale watanzania wachache ambao lengo na dhumuni lao kila waongeapo au waandikapo ni kuchokonoa vile ambavyo kwa namna moja au nyingine vitasababisha chuki!

Sijakuona hata siku moja ukiongelea ubaya na unyama waliotufanyia wazungu hapa!

Uwaonao wewe ni WAARABU TU!
And guess why! Yoote ni kwa kuwa walikuwa WAISLAMU!
Pasco hapa hakuna mtoto mdogo! Na japo utakana hili lkn nadhani tunakufahamu muda sasa!

Wewe ni msukuma ambae umewaasi hata hao wazee wako.
Nikuulize swali la msingi hapa!

Huu utukufu wa haya mapinduzi kwa mtazamo wako wewe ni UPI HASA!

Wazee wetu wamepoteza maisha yao. Watoto wetu wamechinjwa. Damu imemwagika kwa.pande zote mbili!
We hasa huo uuitao utuKufu ni NINI.?

HEBU tujuze kidogo! Manake we mtu wa baliadi unaonekana kuyafahamu mapinduzi kuliko wazanzibari wenyewe.
 
Mapinduzi matukufu ndiyo yalileta haki,usawa na amani zanzibar

Leo Tanzania watu wana kimbia nchi.
wengi tu walokimbia nchi kuanza wakati wanyerere hadi huu wa magufuli.
kwanini wakakimbia ? Baada ya kuona mateso na madhila ya nawo wakuta wenziwawo kama wawo.

Sasa waarabu na wahindi walikimbia baada kuona wenziwawo walivyo dhalilishwa, kubakwa na kuuliwa bila ya sababu.
Sababu kubwa rangi zao na Asili zawo.

Hakuna chakukuweka utahama tuu kutafuta usalama wako.
Hata Bwana Mtume Muhammad na wafuasi wake walihama Makkah kwenda madina kwa usalama wawo.
 
Wanabodi,

Nafuatia makala maalum kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 1964, zinazorushwa mfululizo na Idhaa ya KIswahili ya BBC kila siku kuanzia 1:00-1:30.

Katika kipindi cha leo, Mmoja wa askari aliyekuwa zamu ikulu ya Sultani, kwa jina maarufu la Mzee Sukari, anasimulia first hand information kuhusu mapinduzi hayo! akihojiwa na Baruan Muhuza wa BBC. Amekiri kuwa Sultani hakufukuzwa Zanzibar, alikuwa akitafutwa hivyo alitoroka mwenyewe!, na baada ya Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, waarabu hawakufukuzwa Zanzibar, bali walijiondokea wenyewe!.

Huu ni ushuhuda uliotolewa na shuhuda halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambae simulizi yake ni tofauti na urongo mwingi tuliolishwa na maandishi ya mahasidi wa Mapinduzi.

Kesho kutafanyika mjadala maalum kuhusu Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar utakaoanza saa 12:45-1:30.
Baada ya mapinduzi Zanzibar - BBC Swahili - BBC.com
Zanzibar na miaka 51 ya Mapinduzi - BBC Swahili


Siku ya kilele, kutatolewa nishani maalum za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, sijui kama yule shujaa halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Field Marshal John Okello, atakumbukwa!.

Paskali
Akufukuzae hakwambii toka. Pasikali how can you be so obtuse? Dont reopen old wounds.
 
Akufukuzae hakwambii toka. Pasikali how can you be so obtuse? Dont reopen old wounds.
Mkuu simplemind , mimi kazi yangu ni mwandishi wa habari na jukumu langu ni kuripoti tuu kwa ukweli kile ninachosikia. Hapo nimeripoti kilichosemwa na shuhuda wa Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar ya January 1964, hapa kosa langu ni lipi au ni nini?.

Japo ni kweli Mapinduzi yale ni Matukufu kwa waliopindua na kuleta heri kwa waliokuwa watwana, lakini kwa mabwana waliopinduliwa, Mapinduzi Matukufu yale kwao yalikuwa majanga kwa umwagaji damu ulioendana na Mapinduzi Matukufu hayo, hivyo kuacha makovu. Pole sana.

P
 
Wanabodi,

Nafuatia makala maalum kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 1964, zinazorushwa mfululizo na Idhaa ya KIswahili ya BBC kila siku kuanzia 1:00-1:30.

Katika kipindi cha leo, Mmoja wa askari aliyekuwa zamu ikulu ya Sultani, kwa jina maarufu la Mzee Sukari, anasimulia first hand information kuhusu mapinduzi hayo! akihojiwa na Baruan Muhuza wa BBC. Amekiri kuwa Sultani hakufukuzwa Zanzibar, alikuwa akitafutwa hivyo alitoroka mwenyewe!, na baada ya Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, waarabu hawakufukuzwa Zanzibar, bali walijiondokea wenyewe!.

Huu ni ushuhuda uliotolewa na shuhuda halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambae simulizi yake ni tofauti na urongo mwingi tuliolishwa na maandishi ya mahasidi wa Mapinduzi.
Paskali

Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuwatumia salaam zangu za kuadhimisha kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, tutayalinda kwa gharama yoyote.

Nawatakia maadhimisho mema ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Kazi Iendelee!.

Paskali
 
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuwatumia salaam zangu za kuadhimisha kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, tutayalinda kwa gharama yoyote.

Nawatakia maadhimisho mema ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Japo sasa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yanaelekea miaka 60, Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

Kazi Iendelee!.

Paskali
 
Pasco tatizo lako wewe ni ktk wale watanzania wachache ambao lengo na dhumuni lao kila waongeapo au waandikapo ni kuchokonoa vile ambavyo kwa namna moja au nyingine vitasababisha chuki!

Sijakuona hata siku moja ukiongelea ubaya na unyama waliotufanyia wazungu hapa!

Uwaonao wewe ni WAARABU TU!
And guess why! Yoote ni kwa kuwa walikuwa WAISLAMU!
Pasco hapa hakuna mtoto mdogo! Na japo utakana hili lkn nadhani tunakufahamu muda sasa!

Wewe ni msukuma ambae umewaasi hata hao wazee wako.
Nikuulize swali la msingi hapa!

Huu utukufu wa haya mapinduzi kwa mtazamo wako wewe ni UPI HASA!

Wazee wetu wamepoteza maisha yao. Watoto wetu wamechinjwa. Damu imemwagika kwa.pande zote mbili!
We hasa huo uuitao utuKufu ni NINI.?

HEBU tujuze kidogo! Manake we mtu wa baliadi unaonekana kuyafahamu mapinduzi kuliko wazanzibari wenyewe.
Huu ujinga utaisha lini? Wewe mwarabu wa wapi? MAPINDUZI KUITWA MATUKUFU NI NENO LINALOTAJWA NA WAZANZIBAR WENYEWE. WEWE UNAONA WAARABU NA UISLAM. UMEKUWA BRAIN WASHED
 
Wanabodi,

Nafuatia makala maalum kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 1964, zinazorushwa mfululizo na Idhaa ya KIswahili ya BBC kila siku kuanzia 1:00-1:30.

Katika kipindi cha leo, Mmoja wa askari aliyekuwa zamu ikulu ya Sultani, kwa jina maarufu la Mzee Sukari, anasimulia first hand information kuhusu mapinduzi hayo! akihojiwa na Baruan Muhuza wa BBC. Amekiri kuwa Sultani hakufukuzwa Zanzibar, alikuwa akitafutwa hivyo alitoroka mwenyewe!, na baada ya Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, waarabu hawakufukuzwa Zanzibar, bali walijiondokea wenyewe!

Huu ni ushuhuda uliotolewa na shuhuda halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambae simulizi yake ni tofauti na urongo mwingi tuliolishwa na maandishi ya mahasidi wa Mapinduzi.

Kesho kutafanyika mjadala maalum kuhusu Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar utakaoanza saa 12:45-1:30.
Baada ya mapinduzi Zanzibar - BBC Swahili - BBC.com
Zanzibar na miaka 51 ya Mapinduzi - BBC Swahili


Siku ya kilele, kutatolewa nishani maalum za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, sijui kama yule shujaa halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Field Marshal John Okello, atakumbukwa!

Paskali
Wana bodi, japo tuko kwenye harakati za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge, kuna swali linanitatiza kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambapo majibu yake sahihi, pia yanaweza kuwa ni kiashiria tosha cha mshindi wa urais wa Zanzibar, iwapo uchaguzi utakuwa huru na wa haki.

Swali hili lahusu ukweli haswa kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 12, 1964, baada ya kuibuka kwa kitabu kingine kiitwacho "Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru"
View attachment 2077603
kilichoandikwa na Mwanazouni wa Zanzibar, Dr. Harith Ghassany, kama kilivyofanyiwa mapitio na mwandishi Mohamed Said kwenye gazeti la Al-Nuur la leo.

Ghasanny anasema kumbe Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalitekelezwa na askari mamluki wa Kimakonde (Wakata Mkonge) ambao waliongozwa na Mzee Mohamed Omar Mkwawa (Tindo) chini ya Amiri Jeshi wa jeshi la mamluki hao Victor Mkello (RIP). (kumbe amiri jeshi hakuwa Mganda John Okello pekee, bali pia Mkello yumo?!.

Mamluki hao walitumia zana zao za kukatia mkonge, zile sime za makali kuwili, walizisunda kwenye nguo zao za ndani na kusafirishwa kwa mitumbiwi usiku usiku kupitia Kipumbwi. Jee wale mashuhuda wa Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, wanayakubali haya?.

Pia mwandishi anamalizia kwa kusema hata mauaji ya Karume, hayakutekelezwa na wapinga Mapinduzi, bali ni miongoni mwa hao hao wanamapinduzi, baada ya kupishana kauli fulani fulani za uendeshaji wa Zanzibar baada ya Mapinduzi.

Nimesoma kitabu cha John Okello kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar,
View attachment 2077618
yeye anasema yake, vitabu kadhaa vya waandishi wazungu wanasema yao, historia tukuka ya Mapinduzi Matukufuya ya Zanzibar nayo nayo inasema kivyake, hivi hakuna any straight line yoyote kuhusu Mapinduzi hayo, ya Zanzibar?.
Jee yalipangwa na nani? Yalitekelezwaje?.
Nini haswa kilichotokea usiku ule wa Januari 11?.
Nani alifanya nini wapi?
Na mwisho tuzungumzie wafaidika wa Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar na bila kuwasahau wahanga wa Mapinduzi hayo ambao kwako yatakuwa sio Matukufu, ni kina nani haswa?, na kama kuleta amani na utangamano wa Zanzibar kuhusu Mapinduzi hayo kutahitajika kuundwa kwa Tume ya Ukweli na Upatanisho, "Truth and Reconciliation Commission" ili waliohasimiana kutokana na Mapinduzi hayo, wapatanishwe kwa maslahi mapana ya Zanzibar?.

Majibu ya maswali haya yatasaidia kujua mustakabali wa matokea ya uchaguzi wa Zanzibar kudhirihisha kuwa Wazanzibari ni wamoja, hakuna kundi la walishiriki Mapinduzi ndio wenye uhalali zaidi kuitawala Zanzibar kuliko wasioshiriki, after all kumbe Mapinduzi yenyewe, yametekelezwa na askari mamluki wa Kimakonde, toka mashamba ya mkonge Tanga!.

Pasco
Rejea za Mwandishi huyu kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  1. Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1
  2. Neno "Matukufu" Katika Mapinduzi ya Zanzibar, Lilitoka Wapi, na Yana Utukufu Gani?!,
  3. Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari
Tarehe kama ya leo 11/01/1964 miaka 60 iliyopita, ndio Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalifanyika!. Alfajiri ya Tarehe 12 Januari, 1964 ilikuwa ni kutangazwa tuu!.

Nawatakia maadhimisho mema ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Paskali
 
Back
Top Bottom