Eti walimpa Okello atangaze mapinduzi kisa ana sauti nzito ya kutisha. Hata mtoto mdogo atadoubt hii kitu.
Swala sio kuhisi, Swala najua nini.Mkuu kwani weye unahisi vipi juu ya hilo jambo?
Swala sio kuhisi, Swala najua nini.
Pasco
Kwanini huupendi ukweli?
Kuwa mkweli japo ukweli wauma!.
Hivi ukaenda Hospitali ukapawa dawa ambazo huzitaki lakini ni kwakuwa tu huzitaki, ila ndo tiba nzuri na si nzuri tu bali yafaa kwa maradhi yako,
Sasa Daktari aogope kukugeiye dawa hiyo kwakuwa weye hutaki?! na ukaulizwa kwanini kutotumia dawa hizi?! Ati sitaki tu maana sizitaki,
Sa huzitaki ilhaal waumia kwa maradhi?
Kunywa ni faida kwako na baadaye utajapata poo kabisa, lakini usivoshukurani waeza keti kimya bila mrejesho ila si kitu, wanzio watakuwa waishayua tatizole nini!!
Ondosha haya, tuambie hapa ya nini kuyaita ......... matukufu?
Paschal Kajibu mara nyingi hili swali mi nafikiri watu waseme kwanini sio matukufu, au muwaulize kwanini wanasema ni matukufu
hujamjibuUmejibu kama layman afadhali ungebaki kushangaa pasipo kueleza maana ya uafrika. Umeleta suala jingine la "races" ambalo ni somo tofauti. Hata hivyo, wazo la kuwa kuna dhana au wazo la kuwa na "races" mara nyingi hutumika katika kuwabagua tu binadamu na hutumia kirahisirahisi bila tafaukuri ya kina. Hii ndiyo kusema kuwa, kati ya jamii ya binadamu, suala la "races" halina maana zaidi ya kuwajenga watu dhana ya "kibaguzi". Ieleweke kwamba binadamu wote wanaoishi ni jamii ya "homo-sapiens". Dhana ya "racism" ndiyo pia hupelekea kundi la jamii ya binadamu kujiona ni bora kuliko wengine. Tafakari mfano dhana ya mimi Mhutu na wewe mtutsi ilivyoleta maangamizi. Haya yote ni matokeo yatokanayo na dhana ya "races". Hii dhana haijumuishi tu rangi ya ngozi bali ni tu vingi, vinasaba, lugha, mipaka ya kijografia, nk. Turudi kwenye swali, uafrika ni nini na kuwa mwafrika maana yake nini?
Hii ni hoja ya bei rahisi kabisaPasco uambiwe mara ngapi , Nyerere alimkamata Shamte , Waziri Mkuu wa serikali halali ya Zanzibar na kumuweka jela za Tanganyika kabla ya huo uitwao muungano hapo April 26 , 1964.
hujaelewa tu kuwa mapinduzi ni moja ya mikakati ya Nyerere kutekeleza ajenda za kuichukua Zanzibar chini ya uongozi wa kanisa katoliki . ??
Lete hoja ya pesa za mchango wa mafuta ya mwenge , ulishatoa?Hii ni hoja ya bei rahisi kabisa
Yani tatzo tunapowasema waarabu kwa mabaya yao wao wanahisi tunasema uislamuEti walimpa Okello atangaze mapinduzi kisa ana sauti nzito ya kutisha. Hata mtoto mdogo atadoubt hii kitu.
Hii ni hoja ya bei rahisi kabisa
Karibu miaka 60 tangu uhuru wa Tanganyika,na Miak57 ya Uhuru wa Zanzibar kisha 56 ya Mapinduzi bado tunaendelea kuwalaumu waarabu,?Yani tatzo tunapowasema waarabu kwa mabaya yao wao wanahisi tunasema uislamu
Hayo yote hayahalilishi mambo mabaya yaliyofanywa na waarabuKaribu miaka 60 tangu uhuru wa Tanganyika,na Miak57 ya Uhuru wa Zanzibar kisha 56 ya Mapinduzi bado tunaendelea kuwalaumu waarabu,?
Au tunatafuta Uchochoro wa kukwepa ukweli wa kuwaletea neema na kile tulichowaahidi Raia.
Kiwango cha umasikini na Maradhi kila uchao kinakua ,
Maendeleo hayaendani na ongezeko la mahitaji ya Raia wenu,
Chama Tawala kinangangania Madaraka kisultani,
rasilimali zimeshindwa kuwanaufaisha wananchi,
Munalaumiana wenyewe kwa wenyewe eti mikataba feki,wazungu wabaya nk.
Semeni ukweli,
Mbona Viongozi Mukitoka Madarakani Munakuwa Matajiri wa kutupwa?
ACHENI KUANGANYA RAIA NA KULETA VISINGIZIO
Sasa nusu karne bado munamtafuta mchawi wa maendeleo yenu.Hayo yote hayahalilishi mambo mabaya yaliyofanywa na waarabu
Sasa nusu karne bado munamtafuta mchawi wa maendeleo yenu.
Tafakuri,acheni kukwepa ukweli.
Karume alijenga viwanda.
Nyerere Alijenga Viwanda.
Kaja Mwinyi nchi hata sembe kwa foleni,maharege yasiyowiva mpaka kwa magadi,Sembe la njano.
Jumbe naye Hali ya biashara ilikufa zanzibar,maduka yalikuwa yanauzwa ndizi mbivu na mkaa.Serikali ikafungua maduka ya chakula(maduka ya ukoo)
Kaja Mkapa kauza viwanda ,
Kaja kikwete kaleta wawekezaji wa Umeme Richmond na Kuleta wawekezaji wa nje wengi .Kaua UDA na kaanzisha Mwendo kasi.Kaanzisha umeme wa maji mkaa wa mawe.
Kaja Magufuli ,Serikali inafufuwa viwanda tena,Mwendo kasi unauzwa,Serikaliinaanzisha tena Vyanzo vipyza vya umeme,ule wa gesi basi, sasa wa maji.
Kaja salmini kasema Mafuta hakuna Zanzibar,wapinzani waongo.
Kaja Sheni Anajenga Moll Zanzibar,Na anataka kuchimba mafuta,lakini Hana 'sovereignty' kwa hiyo mafita hayachimbiki.
Hiyo ndo nchi yako unayoishi,kila kiongozi huja na Mipango yake binafsi,wote wa chama hicho hicho CCM
kila ajaye huja na Sera yake ,
Hakuna Sera ya Taifa ndomaana wakikaribia kuondoka madarakani ,hukwapua kwapua na kujineemesha wenyewe binafsi na kusepa.
Kisha wakitaka kutafuta Kuungwa mkono dhidi ya wapinzani huleta Storia za chuki za kikoloni.
Hivi bado na wewe ni mateka tuu au na wewe ni mfaidika wa system?
ZINDUKA ,GANGA YAJAYO LISHALIPITA SI NDWELE
Wewe umeshika Waarabu na utumwa,tazama wenzio hawa CCM hawatoki kuomba huko.
SIMPLE MIND DISCUSES PEOPLE,Jamani naomba tuelewane kwenye hili tunapowasema waarabu hatuusemi UISLAMU. Hizo unazotaja ni changamoto nyingine na zinahitaji upembuzi wake