Mapinduzi cup: Simba yaibamiza Jang'ombe magoli mawili bila majibu, kukutana na Yanga

Simba SC tuna hazina kubwa sana ya makipa.
Nawatahadharisha mikia fc, msiingie uwanjani mkidhani kuwa mtapata ushindi rahisi kama ule wa lambalamba, jipangeni barabara!

Namshukuru Mungu kwa kuwa ametupatia fursa ya kufuta makosa yote yaliyotokea jana, tunakwenda kuthibitisha ubora wetu mbele ya mikia fc.

Wasukuma husema:
Utizhubhona ndimu iligigila uhaya ukwedima bho nhambo (Usione mnyama pori anachechemea ukadhani utamkamata kwa mbio).

Waswahili husema:
Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi.
 
Nawatahadharisha mikia fc, msiingie uwanjani mkidhani kuwa mtapata ushindi rahisi kama ule wa lambalamba, jipangeni barabara!

Namshukuru Mungu kwa kuwa ametupatia fursa ya kufuta makosa yote yaliyotokea jana, tunakwenda kuthibitisha ubora wetu mbele ya mikia fc.

Wasukuma husema:
Utizhubhona ndimu iligigila uhaya ukwedima bho nhambo (Usione mnyama pori anachechemea ukadhani utamkamata kwa mbio).

Waswahili husema:
Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi.
Mnyama lazima atajwe tu kwa vyovyote vile

Mnyama mkali pengine kuliko wote mwituni

Endelea kujifunika kaniki tunakupiga mwendo wetu huu 2 au 1 na hakuna Martin Sanya kule
 
Nawatahadharisha mikia fc, msiingie uwanjani mkidhani kuwa mtapata ushindi rahisi kama ule wa lambalamba, jipangeni barabara!

Namshukuru Mungu kwa kuwa ametupatia fursa ya kufuta makosa yote yaliyotokea jana, tunakwenda kuthibitisha ubora wetu mbele ya mikia fc.

Wasukuma husema:
Utizhubhona ndimu iligigila uhaya ukwedima bho nhambo (Usione mnyama pori anachechemea ukadhani utamkamata kwa mbio).

Waswahili husema:
Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi.
Haha.. kuhusu mechi ijayo nitatoa tamko soon.. ila afe kipa.. afe beki.. lazima muondoke na kapu la magoli.
 
62ba5820de50ce051173075132d34859.jpg
 
Mbeleko mwisho uwanja wa taifa... kule mapemaaaa mnyama anang'ata Ndala FC
 
Back
Top Bottom