Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Endelea kujifunika kaniki...!Makombe kama haya pamoja na Mtani jembe ndiyo huwa ya Simba,yale ga ya ushiriki wa Kimataifa wanayasikia redioni.
Endelea kujifunika kaniki...!Makombe kama haya pamoja na Mtani jembe ndiyo huwa ya Simba,yale ga ya ushiriki wa Kimataifa wanayasikia redioni.
I love youSimba SC tuna hazina kubwa sana ya makipa.
Nawatahadharisha mikia fc, msiingie uwanjani mkidhani kuwa mtapata ushindi rahisi kama ule wa lambalamba, jipangeni barabara!Simba SC tuna hazina kubwa sana ya makipa.
Mnyama lazima atajwe tu kwa vyovyote vileNawatahadharisha mikia fc, msiingie uwanjani mkidhani kuwa mtapata ushindi rahisi kama ule wa lambalamba, jipangeni barabara!
Namshukuru Mungu kwa kuwa ametupatia fursa ya kufuta makosa yote yaliyotokea jana, tunakwenda kuthibitisha ubora wetu mbele ya mikia fc.
Wasukuma husema:
Utizhubhona ndimu iligigila uhaya ukwedima bho nhambo (Usione mnyama pori anachechemea ukadhani utamkamata kwa mbio).
Waswahili husema:
Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi.
love u moreI love you
Haha.. kuhusu mechi ijayo nitatoa tamko soon.. ila afe kipa.. afe beki.. lazima muondoke na kapu la magoli.Nawatahadharisha mikia fc, msiingie uwanjani mkidhani kuwa mtapata ushindi rahisi kama ule wa lambalamba, jipangeni barabara!
Namshukuru Mungu kwa kuwa ametupatia fursa ya kufuta makosa yote yaliyotokea jana, tunakwenda kuthibitisha ubora wetu mbele ya mikia fc.
Wasukuma husema:
Utizhubhona ndimu iligigila uhaya ukwedima bho nhambo (Usione mnyama pori anachechemea ukadhani utamkamata kwa mbio).
Waswahili husema:
Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi.
Usijali Mkuu.. siku hiyo sitakua eneo korofi.. nitajitahidi hii historia mnyama anayoenda kuweka nakua shahidi [kumfunga ndala goli nyingi,]. ili niweze wasimulia wajukuu zangu.J4 sembo na wenzio tusikimbiane. Mark my words...
Mara chache sana kidume kikimbia demuJ4 sembo na wenzio tusikimbiane. Mark my words...
Buhahaha, na wamechezesha kosi lote na nguv wamewekeza wacjesema kombe la bonanzaEndelea kujitekenya! kachkueni katoni zenu za juice mlizozikimbia!!
Mkuu mtani jembe ilifiaga wapi?Makombe kama haya pamoja na Mtani jembe ndiyo huwa ya Simba,yale ga ya ushiriki wa Kimataifa wanayasikia redioni.
Fainali naona mko 4G sasa.Makombe kama haya pamoja na Mtani jembe ndiyo huwa ya Simba,yale ga ya ushiriki wa Kimataifa wanayasikia redioni.
Mkuu jitahidi kumaliza hizo koni 4 maana kesho tunakuongeza nyingineMakombe kama haya pamoja na Mtani jembe ndiyo huwa ya Simba,yale ga ya ushiriki wa Kimataifa wanayasikia redioni.
Sijafuatilia hayo mashindano ya mchangani,hilo ndio kombe pekee mnaweza kuchukua