Plant pathologist
Member
- Oct 18, 2017
- 15
- 9
Wakuu naomba madaktari mnisaidie kuhusu tatizo langu hili ambalo kimeanza kunisumbua hivi punde. Nashindwa kuelewa naweza kuwa na tatizo gani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama nimeongezeka uzito ila nitafanya vipimo kama ulivyonishauriJe, umeongezeka uzito?
Nemda ukafanyiwe vipimo vya presha, HB na sukari.
Nashukuru mkuu, ntafanya hivyoMkuu nenda hospital kajaribu kuchek ukubwa wa moyo...hilo tatizo mama yangu alikuwa nalo Na dalili ulizozitaja Ni hzohzo.Wahi hospitali ili uanze tiba mapema Hzo Ni dalili za moyo kuwa mkubwa japo ukiwahi matibabu unapona kabisa.
Unapata shida kupumua ukilala chali? unaishiwa hewa usiku? Hizo ni dalili za moyo kufeli, Nenda hospitali kubwa fanyaWakuu naomba madaktari mnisaidie kuhusu tatizo langu hili ambalo kimeanza kunisumbua hivi punde. Nashindwa kuelewa naweza kuwa na tatizo gani.
Fanya vipimo vifuatavyo: Full Blood Picture (CBC), Urinalysis, Kidney Function Test, Lipid Profile, Chest Xray, ECG, ECHO, TMT, Liver Function Test, Abdominal and Pelvic Ultrasound, SerumSodium, Potassium and Vitamin D. Titafute baada ya kupata majibu.Wakuu naomba madaktari mnisaidie kuhusu tatizo langu hili ambalo kimeanza kunisumbua hivi punde. Nashindwa kuelewa naweza kuwa na tatizo gani.
Boss naomba shule kidogo hapa... Why abdominal and pelvic uss , umeniacha kidogo hapoFanya vipimo vifuatavyo: Full Blood Picture (CBC), Urinalysis, Kidney Function Test, Lipid Profile, Chest Xray, ECG, ECHO, TMT, Liver Function Test, Abdominal and Pelvic Ultrasound, SerumSodium, Potassium and Vitamin D. Titafute baada ya kupata majibu.
Nataka kuona kama kuna shida kwenye figo au ini au kuna maji kwenye abdomen.......Boss naomba shule kidogo hapa... Why abdominal and pelvic uss , umeniacha kidogo hapo
OkNataka kuona kama kuna shida kwenye figo au ini au kuna maji kwenye abdomen.......
Mkuu hapo umemaliza ,lazima kielewekeUnapata shida kupumua ukilala chali? unaishiwa hewa usiku? Hizo ni dalili za moyo kufeli, Nenda hospitali kubwa fanya
-chest x ray : waangalie kama kuna dalili za moyo kuongezeka ukubwa au mapafu kujaa maji
- Electrocardiogram : waone kama kuna dalili zozote za misuli ya moyo kupungukiwa na supply ya damu
- Echocardiogram : waangalia kama kuna mabadiliko yoyote kwenye maumbo ya chemba za moyo
Uchumi ukiruhusu fanya pia
- Renal function test : kuona kama figo zinafanya kazi vizuri
-liver function test :kuona kama ini lipo vizuri
-full blood picture :kuona kama kuna dalili za upungufu wa damu ama infection zozote kwa kuangalia idadi ya seli nyeupe za damu.
Dokta JoanahItakua mimba io
Inawezekana una upungufu wa red blood cells hivyo kufanya zoezi la kusafirisha oxygen kwenye mwili wako kufanyika kwa taabu. Nenda hospitali ukapimwe Hb (Haemoglibin) Kwa mwanaume counts ya Hb huanzia 13.5 to 17.5 grams per deciliterWakuu naomba madaktari mnisaidie kuhusu tatizo langu hili ambalo kimeanza kunisumbua hivi punde. Nashindwa kuelewa naweza kuwa na tatizo gani.
Mda mwingine ni heri ukanyamaza tu kimya na kuwa msomajiItakua mimba io
Yupo sawa unapokuwa mjamzito kujisikia hivyo ipo sana haswa mimba ikiwa changa kwa baadhiMda mwingine ni heri ukanyamaza tu kimya na kuwa msomaji