Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,222
Habari hii ya electronics warfare Ni uzushi tu ingekuwa kweli tayari uturuki angeingiza ndege Syria,Muda si mrefu, vikosi vya Erdogan vimeshambulia maeneo ya serikali ya Syria huko kaskazini mwa Syria. Mtifuano bado ni mkali sana.
Pia kuna taarifa zisizo rasmi zinadai kuwa Uturuki imefunga mfumo wa electronic warfare (KORAL electronic warfare system) katika maeneo huko kaskazini magharibi mwa Syria ili kukabiliana na kuipooza mifumo ya radar na ulinzi wa anga ya Syria na Urusi.
Kuwasaidia wanajeshi wake wasidhidi kuzingirwa,