Mapenziii!!!!!!

NILHAM RASHED

JF-Expert Member
Nov 29, 2010
1,622
43
S,A,,, ndugu na jamaa zangu kwa ujumla,,
mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24 now,,sikuwah kumruhusu mwanamme yoyote kukaribia joto langu la mwili,,,simaanishi sijawahi kujihusisha na mapenzi laa!!! nilisha fall in love na kijana alienipenda nikampenda,,ispokua ni mapenzi ya email sms sim zawadi, bas kwa ajili ya madhehebu tulonayo,,tena hayo yalikuwa ni ya siri,sana bila wazazi wa pande zote kujua na ukizngatia alikua ni mtoto wa amy yangu,,soo soon nilikuja kuposwa nilikataa na lakini huo ndio ulikua mwisho wangu mimi naye na kwa sasa kasafiri holand na kukata mawasiliano yetu,, almost 11months up to now,,sijui kosa langu wallah!! na ni wengi niliowakataa si ofisini wala nyumbani kulinda dreams tulizopanga mimi naye,,,na istoshe alipata khabari ya kumwa kwangu ila hakujali na si kawaida,,,moyo wangu wasema bado nimfatilie lakini na roho nayo yasita...ya raab!!

then pia nilipewa transfar juzi hospital nende india au huko aliko yeye kwa matibabu ya moyo na najua fika wallah tutakutana mana wote hua twafikizia kwa aunt yetu alioko huko ni yeye tuu ndie mwenyeji wetu,,,so wats wrong with him jamani?????na jee kuna umuhimu wowote kukutana tena???sijui hata kueleza jins nikimfikiria,,
 
pole dada. Labda yeye alikuwa hajapanga muoane. Mkubali mwingine tu nakushauri. Ila ukienda kutana nae umsikie anasema nini na umwombe awe mkweli
 
S,A,,, ndugu na jamaa zangu kwa ujumla,,
mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24 now,,sikuwah kumruhusu mwanamme yoyote kukaribia joto langu la mwili,,,simaanishi sijawahi kujihusisha na mapenzi laa!!! nilisha fall in love na kijana alienipenda nikampenda,,ispokua ni mapenzi ya email sms sim zawadi, bas kwa ajili ya madhehebu tulonayo,,tena hayo yalikuwa ni ya siri,sana bila wazazi wa pande zote kujua na ukizngatia alikua ni mtoto wa amy yangu,,soo soon nilikuja kuposwa nilikataa na lakini huo ndio ulikua mwisho wangu mimi naye na kwa sasa kasafiri holand na kukata mawasiliano yetu,, almost 11months up to now,,sijui kosa langu wallah!! na ni wengi niliowakataa si ofisini wala nyumbani kulinda dreams tulizopanga mimi naye,,,na istoshe alipata khabari ya kumwa kwangu ila hakujali na si kawaida,,,moyo wangu wasema bado nimfatilie lakini na roho nayo yasita...ya raab!!

then pia nilipewa transfar juzi hospital nende india au huko aliko yeye kwa matibabu ya moyo na najua fika wallah tutakutana mana wote hua twafikizia kwa aunt yetu alioko huko ni yeye tuu ndie mwenyeji wetu,,,so wats wrong with him jamani?????na jee kuna umuhimu wowote kukutana tena???sijui hata kueleza jins nikimfikiria,,
Ukifika India umuulize kulikoni, amekata mawasiliano!? Ila nahofia ukikutana naye mnaweza tumbukia kwenye maangamizi ya nafsi, nakuonea huruma sana Nilham, ila hapa si maala pake.
 
S,A,,, ndugu na jamaa zangu kwa ujumla,,
mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24 now,,sikuwah kumruhusu mwanamme yoyote kukaribia joto langu la mwili,,,simaanishi sijawahi kujihusisha na mapenzi laa!!! nilisha fall in love na kijana alienipenda nikampenda,,ispokua ni mapenzi ya email sms sim zawadi, bas kwa ajili ya madhehebu tulonayo,,tena hayo yalikuwa ni ya siri,sana bila wazazi wa pande zote kujua na ukizngatia alikua ni mtoto wa amy yangu,,soo soon nilikuja kuposwa nilikataa na lakini huo ndio ulikua mwisho wangu mimi naye na kwa sasa kasafiri holand na kukata mawasiliano yetu,, almost 11months up to now,,sijui kosa langu wallah!! na ni wengi niliowakataa si ofisini wala nyumbani kulinda dreams tulizopanga mimi naye,,,na istoshe alipata khabari ya kumwa kwangu ila hakujali na si kawaida,,,moyo wangu wasema bado nimfatilie lakini na roho nayo yasita...ya raab!!

then pia nilipewa transfar juzi hospital nende india au huko aliko yeye kwa matibabu ya moyo na najua fika wallah tutakutana mana wote hua twafikizia kwa aunt yetu alioko huko ni yeye tuu ndie mwenyeji wetu,,,so wats wrong with him jamani?????na jee kuna umuhimu wowote kukutana tena???sijui hata kueleza jins nikimfikiria,,
Very sory NR... but please, have peace of mind and try to sit down and think and rethink any decision you might make... you are still having chance for better and best life.... Assume Allah has an access to your life and he is so faithful to you... He will never allow you to be a loser... So, invite him in your life, and let him take control of.... I wish you all the best in both your treatments and relationship...
 
Pole sana dada but nakushauri uhamishe moyo wako na utafute mwingine huyo kisha kutosa!
 
why not then hayuko india yuko holland,,,,
Ukifika India umuulize kulikoni, amekata mawasiliano!? Ila nahofia ukikutana naye mnaweza tumbukia kwenye maangamizi ya nafsi, nakuonea huruma sana Nilham, ila hapa si maala pake.
 
ooh tax my boy,,,may god tekbar inti duau ya rabb,,,
Very sory NR... but please, have peace of mind and try to sit down and think and rethink any decision you might make... you are still having chance for better and best life.... Assume Allah has an access to your life and he is so faithful to you... He will never allow you to be a loser... So, invite him in your life, and let him take control of.... I wish you all the best in both your treatments and relationship...
 
dat is wat i was thinking but siwezi fanya hivyo kwa ajili sijui nini tatizo lakini ukhty wake alinambia kua kamwambia kua huenda mimi nikaolewa mapema kwa kwa ajili ya kumridhisha baba angu bora ajivue mapema kabla mimi kumtsa lakini asemavyo kaondoka kwa machungu na ghofu yakuwa hatuwezi kuwa pamoja,,kwa ajili wote ndio twaanza kujijenga twafanya kazi bank moja tuliotumbukizwa na uncle wangu mimi kaamua kuacha na kuondoka,,,sasa ndio sielewi nini kimempata wallah!!!!
Pole sana dada but nakushauri uhamishe moyo wako na utafute mwingine huyo kisha kutosa!
 
Pole sana mdada,unavyoandika tu napata picha ukiongea, yaani full mwarabu!
sasa wewe temana na huyo jamaa, kwa jinsi nnavyojua atakua amepata kimwana murua huko tena ukizingatia mlikua hamlitafuni tunda spesho, sasa nafikiri atakua amepata hiyo kitu, hawezi kukukumbuka tena, na ukimpata tu mpe tunda uone kama atakusahau tena. best of lucky
 
DONT JUDGE BEFORE HEARING....waswahili wanasema tumepewa masikio mawili na mdomo mmoja maana haswa ni kuwa inabidi tusikilize zaid kuliko kutoa hukumu na kuanza kulaumu. Ni wazi kuwa hakuna yeyote anayejua ni nini kilichompata huyu mpenzio. Sasa tuanavyoanza kusema kuwa achana naye tafuta mwingine na hujui hali yake iko vipi inakuwa c haki. Ninachokushauri ni kumtafuta umuulize kulikoni na nini hatma yetu kama mapenzi yamekwisha basi unajua wazi. Hata kama atakudanganya huwezi jua mpaka muonane so jinsi atakavyokuwa anakujibu kuhusu mahusiano yetu utaelewa kama anasema ukweli au lah.. Haya mambo ya mitandao ni magumu maana huwezi msoma mwandikaji...huwezi jua anayeeleza hisia ni mwenyewe au la...anaandikiwa au vp....anakariri mahalai au la. So achana na haya ya email na ya simu na mkae ujue. Wanawake wana uwezo wa kumtambua mkweli, mwongo mlaghai na wote wanaofanana na hao. Naaamini nawe pia una huo uwezo...Chukua hatua na uamuzi sahihi.
 
kuingiliwa kabla ya ndoa yaani kuzini kwa mtu ambaye enda kuwa kuni ya wenzie kesho akhera mtu atakae fufuliwa akimwagika usaha kwenye sehemu za siri wallah naapa sitodiriki...na zingatia kwamba nayaheshimu mawazo yakoo ila hayakuendana na mimi namheshimu subhanahu wataal,,,ahsante ndugu mpenzi,,yeye si bora bora ni allah!!!na kuzini nooooo.....
Pole sana mdada,unavyoandika tu napata picha ukiongea, yaani full mwarabu!
sasa wewe temana na huyo jamaa, kwa jinsi nnavyojua atakua amepata kimwana murua huko tena ukizingatia mlikua hamlitafuni tunda spesho, sasa nafikiri atakua amepata hiyo kitu, hawezi kukukumbuka tena, na ukimpata tu mpe tunda uone kama atakusahau tena. best of lucky
 
pole sana Nilham...
hujatuambia,kwa nini ulikataa posa yake??au ulikuwa umemuweka pending??
 
kuingiliwa kabla ya ndoa yaani kuzini kwa mtu ambaye enda kuwa kuni ya wenzie kesho akhera mtu atakae fufuliwa akimwagika usaha kwenye sehemu za siri wallah naapa sitodiriki...na zingatia kwamba nayaheshimu mawazo yakoo ila hayakuendana na mimi namheshimu subhanahu wataal,,,ahsante ndugu mpenzi,,yeye si bora bora ni allah!!!na kuzini nooooo.....

Sawa mama, ni vizuri unavyofikiria, ila endelea kubana ivo ivo, utawakosa wengi tu, ila usihofu, allah atakupatia mume.
 
Achana naye!msahau kabisa.Anza kunipenda mimi kidogo kidogo!mambo yetu yatakuwa super baadaye!!
 
sitaki mume yeyote roho yangu imegonga kwake na kama imtatokea bahati mbaya basi allah ndie mjuzi wa yote, na ukizingatia yeye ni damu yangu hata tufanyeje itatokea tu siku tutaonana inshallah!!!,,asante kwa ushauri wako mzuri ndugu yangu,,
Sawa mama, ni vizuri unavyofikiria, ila endelea kubana ivo ivo, utawakosa wengi tu, ila usihofu, allah atakupatia mume.
 
sitaki mume yeyote roho yangu imegonga kwake na kama imtatokea bahati mbaya basi allah ndie mjuzi wa yote, na ukizingatia yeye ni damu yangu hata tufanyeje itatokea tu siku tutaonana inshallah!!!,,asante kwa ushauri wako mzuri ndugu yangu,,
...

teh teh teh..kiskuna aka kibuti.....:teeth:
 
alikuwa si yeye dear alikuwa ni jamaa mwengine aliekuja posa na ndio ye aliposkia khabari hizo akaanza kubadilika,,,mana lazma askie ni mtoto wa baba angu mkubwa (amy),,
pole sana Nilham...
hujatuambia,kwa nini ulikataa posa yake??au ulikuwa umemuweka pending??
 
sitaki mume yeyote roho yangu imegonga kwake na kama imtatokea bahati mbaya basi allah ndie mjuzi wa yote, na ukizingatia yeye ni damu yangu hata tufanyeje itatokea tu siku tutaonana inshallah!!!,,asante kwa ushauri wako mzuri ndugu yangu,,

Du jamani, hatuna bahati siye, yaani me huwa nawapendaga kichizi ila sasa tatizo mnaoana wenyewe kwa wenyewe, tupeni na sisi chance basi hata tupate hii hybrid ya kichaga na kiarabu, shombe shombe! au unasemaje NR? huyo ni ndugu yako bana sio fresh kuolewa na nduguyo...tupe nafasi basi jamani.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom