Mapenzi yanauma sana ndugu zangu, kamwe usimcheke mtu kama bado hayajakukuta

Hahah mkuu unahisi kweli sijawahi kupenda???

Tatizo alipenda akaingiza miguu,kichwa na kiwiliwili kwa pamoja...

Tena umemshauri vizuri sana huyu..Nafikiri kama wewe kuwa abadilishe approach mana inaonesha akipenda huwa anajali kupita maelezo...Ajikaze maisha yaendelee.
Ndio inavyokuwa mkuu, katika maisha tunajifunza kutokana na makosa. Mwanzoni kuteleza ni kawaida ila kuanzia paper 2 unakamua kwa uwezo
 
Kuumia kupo ila ukiwa na expectations, hii hutokea first time mwanaume anapopenda kweli na kutazama future na mwanamke husika. Ukipigwa za uso hapo lazma udate.

Ila kwa wale wa kusogezea siku hata kibuti siwazi kwanza ndio nauza match kila nikipata nafasi. Ntaumiaje wakati sina mpango nawewe. Works like that!
Kama mtu unampenda na unapanga future nae, akizingua shukuru Mungu wala usiumie. Shukuru kwasababu kazingua mapema, angezingua tayari mko ndoani hio ni changamoto maanake kosea hata kujenga ila sio kuoa. Mimi mwanamke nikimpenda akizingua namuacha immediately kwasababu huko mbele nitapata shida, lakini kama simpendi akizingua naenda nae hivyo hivyo namuweka sehemu yake tu.
 
Mkuu ushawahi kunyofolewa ukucha wa kidole kikubwa cha mguuni? Unayafahamu maumivu yake? Utagundua hayo maumivu unayo yasema ya mapenzi si kitu.
 
Kama mtu unampenda na unapanga future nae, akizingua shukuru Mungu wala usiumie. Shukuru kwasababu kazingua mapema, angezingua tayari mko ndoani hio ni changamoto maanake kosea hata kujenga ila sio kuoa. Mimi mwanamke nikimpenda akizingua namuacha immediately lakini kama simpendi akizingua naenda nae hivyo hivyo namuweka sehemu yake tu.

Nijaliwe moyo wako, afu mkuu umesema kweli, sema mwanadamu huwa hatuoni mbele kabisaa tunataka tuliyonayo hapa
 
Mkuu ushawahi kunyofolewa ukucha wa kidole kikubwa cha mguuni? Unayafahamu maumivu yake? Utagundua hayo maumivu unayo yasema ya mapenzi si kitu.

Maumivu ya nerves ni tofauti kabisa na maumivu ya moyo

Ukininyofoa kucha nakula sana, tena nitataka vitamu zaidi
 
Ok furahia mchezo sasa

Screenshot_2019-05-16-11-53-26-1.png


Huyu jamaa nilimchekaga sanaa alipouliza hivi, ila sasa hivi namuelewa
 
Back
Top Bottom