Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,012
- 54,174
Kama umeumbwa hivyo pongezi kwako.Kuna watu hawajali chochote kile katika ulimwengu huu.
Kama umeumbwa hivyo pongezi kwako.Kuna watu hawajali chochote kile katika ulimwengu huu.
Tena wewe myahudi ukila mzigo kabla ya ndoa adhabu yake si kupigwa mawe mpaka kufa
Mzigo sio maana sana kwenye mapenzi ya kweli ndugu yangu
Mpira unamatokeo matatu...... kushinda, kushindwa na kudraw
Chukulia mapenzi kama huo mchezo ndio utaendanayo sawa maana mapenzi ni game
Jibu swali ndugu we ndo stering wa hii muvi, mimi msomaji nataka kujua! ulikula mzigo?
Hahaha nimechekaSasa sabuni inaletaje kisebusebu?
Kuna watu wa aina mbili, strong na weak so wanaolia ni weak peopleWakiachwa huko wanalia mpaka wanapenga kamasi
Hahah! basi ulikabiziwa jezi na mchezo bado hujauelewaMchezo mpya siku zote kuka kubau bau kwingi mpaka ulizoee
Jibu zuri sana, kuna watu huwa wanapenda kuuliza maswali yasiyo na kichwa wala miguuSina majibu ya hili swali mkuu, samahani kwa lutojibu
Hivi huu ujasiri huwa mnatoa wapi WapendwaMpira unamatokeo matatu...... kushinda, kushindwa na kudraw
Chukulia mapenzi kama huo mchezo ndio utaendanayo sawa maana mapenzi ni game
SawaKuna watu wa aina mbili, strong na weak so wanaolia ni weak people
Jitahidi mkuu uishi nao kwa style hiyo ili mahusiano ama ndoa ipate kudumuLabda sahivi ndio naweza kukuelewa
Hahahaha wewe hujawahi penda, usimdharau huyu jamaa sio mwenda wazimu. Naamini mara yako ya kwanza kupenda ikitokea hitilafu utameza maji ya betri
Hahah! basi ulikabiziwa jezi na mchezo bado hujauelewa
Pole sana, Naelewa hiyo situation. Pole mno ila muda ndio kila kitu
Kuna watu wa aina mbili, strong na weak so wanaolia ni weak people
Mikiki mikiki ya mapenzi na simulizi za kuumizwa kama hizi ndio zinatupa huo ujasiri mpendwaHivi huu ujasiri huwa mnatoa wapi Wapendwa
Hivi huu ujasiri huwa mnatoa wapi Wapendwa