Mapenzi yanauma sana ndugu zangu, kamwe usimcheke mtu kama bado hayajakukuta

Hahah mkuu unahisi kweli sijawahi kupenda???

Tatizo alipenda akaingiza miguu,kichwa na kiwiliwili kwa pamoja...

Tena umemshauri vizuri sana huyu..Nafikiri kama wewe kuwa abadilishe approach mana inaonesha akipenda huwa anajali kupita maelezo...Ajikaze maisha yaendelee.
Hahahaha wewe hujawahi penda, usimdharau huyu jamaa sio mwenda wazimu. Naamini mara yako ya kwanza kupenda ikitokea hitilafu utameza maji ya betri
 
Back
Top Bottom