Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,012
- 54,174
Pole yatapita na utasahau.Moyo unachomaaa, nashindwa kuelezea halii hii vizuri asee, macho yanatoa machozi but ukiwa chumbani kwako umejifungiaaa, ukitoka nje kama sio wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole yatapita na utasahau.Moyo unachomaaa, nashindwa kuelezea halii hii vizuri asee, macho yanatoa machozi but ukiwa chumbani kwako umejifungiaaa, ukitoka nje kama sio wewe
Kwa maandishi kama haya ujasiri unawezeka ila kiuhalisia haiwezekani ukute wewe unalia na kamasi kabisa.Kuna wengine mapenzi ni burudani siyo maisha. Yaani niumie kwa sababu ipi kubwa?
Naamini hata hao huwa hamaanishi wanachosema ila basi tu wanaume siku zote hupenda kujifanya wapo strong
Huo nauita ubatizo wa moto, sasa sahivi umezaliwa upya katika maswala ya kimahusiano. Ukilizwa tena ujue umejitakia ila hivyo ndio gemu inavyokwenda. Kingine soma tabia za wanawake cheki makala mtandaoni. Zilinisaidia sana ikiwamo kufahamu kuwa the more you lurk around a woman the more he find you clingy.Hakika, ukishakinywea hiki kikombe lazima ubadilike
Kupenda hadi kushindwa kula,kutundikiwa drip dah mie naona ulijiendekeza sana...
Wewe sio wa kwanza Kupenda wala hautakuwa wa mwisho hebu jikaze na upunguze kulialia.
Kuna wengine mapenzi ni burudani siyo maisha. Yaani niumie kwa sababu ipi kubwa?
Dah! Nina mambo mengi ya muhimu huwa sikai kuwaza mapenzi.Kwa maandishi kama haya ujasiri unawezeka ila kiuhalisia haiwezekani ukute wewe unalia na kamasi kabisa.
Kwa maandishi kama haya ujasiri unawezeka ila kiuhalisia haiwezekani ukute wewe unalia na kamasi kabisa.
ndio maana wanakufa mapemaHuwa wanalia moyoni mpendwa.
Jibu zuri sanaa hili Mkuu, tatizo kuna watu wanajifanya wana roho za Kimungu kwamba wanajiaminia sanaa kana kwamba wanahisi ni Udhaifu Kumpenda mwanamke unayetarajia awe mke wako mama yako wa uzeeni mwakoNi siriuz kwa mtu anaewaza ndoa na kua na familia
Hata nikiwa kwenye ndoa siingi kisa mapenzi bali kuunda familia. Mapenzi hayawezi kugharimu muda wangu.Daah sitaki nifike huku, haya yanakosti mpaka kwenye ndoa asee
Hiyo mimacho veepeKuna wengine mapenzi ni burudani siyo maisha. Yaani niumie kwa sababu ipi kubwa?
Jibu zuri sanaa hili Mkuu, tatizo kuna watu wanajifanya wana roho za Kimungu kwamba wanajiaminia sanaa kana kwamba wanahisi ni Udhaifu Kumpenda mwanamke unayetarajia awe mke wako mama yako wa uzeeni mwako
Mimacho ya bao la punyeto.Hiyo mimacho veepe
Mapenzi hayana komando😀😀ndio maana wanakufa mapema
Mimacho ya bao la punyeto.
Huwa ni huku kwnye maandishi tu ndo wanajifanya vidumeNaamini hata hao huwa hamaanishi wanachosema ila basi tu wanaume siku zote hupenda kujifanya wapo strong
Siyo hivyo, na yeye anajua yuko na mtu wa aina gani hivyo akileta kisebusebu saa haipiti.Hongera una mpenzi ambae hawezi kukimbia ndio maana hata huumii
Huwa ni huku kwnye maandishi tu ndo wanajifanya vidume