Leonardchama7
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,959
- 3,986
Wanaume baadhi mnakosea sana kumpenda mwanamke mpaka akahisi kukinai kupendwa,hivyo ni rahasi sana kuumia endapo kutatokea kutoelewana,
Mwanamke mpende kiasi,mjali kiasi,ili asijue umesimamia wapi,pia mtimizie mahitaji yake kama inavyotakiwa,ila uwe na maamuzi ya kiume ukisema hapana umaanishe hapana na yeye atambue hivyo,na katika suala la mawasiliano usipende sana kufuatilia simu ya mkeo mpe uhuru na ila umuonye kulingana na misimamo yako,naamini ukianza na utaratibu huu hautakaa ujute kamwe,kifupi usimruhusu mwanamke akakuelewa kwa 100% utajuta,jitahidi angalau akuelewe kwa 70% tu inatosha.
Mwanamke mpende kiasi,mjali kiasi,ili asijue umesimamia wapi,pia mtimizie mahitaji yake kama inavyotakiwa,ila uwe na maamuzi ya kiume ukisema hapana umaanishe hapana na yeye atambue hivyo,na katika suala la mawasiliano usipende sana kufuatilia simu ya mkeo mpe uhuru na ila umuonye kulingana na misimamo yako,naamini ukianza na utaratibu huu hautakaa ujute kamwe,kifupi usimruhusu mwanamke akakuelewa kwa 100% utajuta,jitahidi angalau akuelewe kwa 70% tu inatosha.