Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,124
- 7,432
Daaahh, bora ujitenge mapema usikutwe na bwana pepsi huyu, hakulipii afu anakuacha peke yako
Ila mkuu nitaumia kiasi maana huyi mamsi tumetoka mbali since naanza maisha ya kigeto geto , nalala chini, Sina mishe ya kueleweka , Tunagombana tunapatana , ila now mambo yamekuwa serious, nina 3 day ban, simu nlomnunulia na kaipasua mbele yangu na line kavunja dah so nimemute tuuu