Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,721
Huelewi kivipi ngojea ukioa utajua tu! matatizo ya mkeo huongelewa ukweni ndo maana akikuudhi unaweza ukamwambia aende kwao,
Yaaani nikisikia mtu anasema kushitaki mke kwao kwa kweli huwa sielewi kabisa!!!!!!