Mkalimani wa taifa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 753
- 1,285
mtumie baadae muache aende zake,wanawake ni wengi sana
Ila mwanangu unakichwa kakwambia usiombe ushauli na umeombaNimejaribu kumwambia tuachane
Amelia mbele yangu kuwa hayuko tayali kwa Hilo
& Amesisitiza nisiombe ushauri kokote make anajua watanishauri vibaya
Mzee huyo hawapend nyinyi nyote kwako kuna kitu ana gain na kwa huyo mshikaj kipo anacho gain inshort anacheza na akil zenu..Ila kam vp ishi nae lakin future haipo apo broHabari yenu wana jamvi!
Natumai mu wazima wa afya.
Nisipoteze Muda iko hivi
Kuna binti mmoja hapa chuoni niko Nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa
Ninampenda & analifahamu Hilo.
Ndo niliepanga toka awali awe Mama watoto (Kama Mungu atabariki) .
Nimekuja kugundua Yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.
Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana.
Nimemuomba aachane na huyo Jamaa Kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia.
Nimemuuliza Kama ana future nae
Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).
Hebu nisaidieni wakubwa
Make Niko njia panda
Kumpenda nampenda sana.
Jf is my home where I can get every advice I need.
nimeshangaa sana, hata kama mapenzi upofu huwezi nichanganya na mtu mwingine nijue alafu nione sawa. binafsi huwa sina uvumilivu huo, nadhani Mungu wakati ananiumba alisahau kuniwekea🤣🤣Hahaa ivi huo ujasiri anautoa wapi aisee......
Kuwa mpole tuCha kushangaza kanambia Mimi ndo nimemkuta jamaa
Kwani huyo Jamaa yake pesa anazo?Nimejaribu kumwambia tuachane
Amelia mbele yangu kuwa hayuko tayali kwa Hilo
& Amesisitiza nisiombe ushauri kokote make anajua watanishauri vibaya
Hatumie ushawish kitandanmbona hueleweki hii maanake anakuonea huruma jinsi unavyompenda! ila jamaa wa kwanza hawez kuachana nae kwa ushawishi wako..
Nina wivu Sana mkuuNimesoma comments zote
namaliza kwa kusema hivi Chuo kimekusaidiaje katika kutoa maamuzi !!?
hapo upo dhaifu sana kwake cha kufanya tu MPE MIMBA alfu agiza popcorn jilie endeleza msur si utkai kumwacha bana
chuo mpo kwa miaka 3 wakitaani huko yuko nae since day hizo alfu unajifanya unamapenzi mkolezo
piga mimba subili mtoto wakitaani atapoteza kama wew ndio umeingilia tafuta pisi lako lingine bang nalo kisela
ushauli tulio kupa ndio alio ukataa yeye kma unashikiwa kichwa its oky KIZURI KULA NA NDUGUYO SASA
CASE CLOSED
Ila mwanangu unakichwa kakwambia usiombe ushauli na umeomba
mkirudiana useme JF walichangia katika maamuzi
DuhHuyo manzi janja sana anataka akiwa chuo apate wa kumpiga ukuni na akirudi kijijini kwao likizo apate wa kumpiga ukuni halafu wewe utulie usilete wivu wala kumfatilia
Mwenyewe nakwama haponimeshangaa sana, hata kama mapenzi upofu huwezi nichanganya na mtu mwingine nijue alafu nione sawa. binafsi huwa sina uvumilivu huo, nadhani Mungu wakati ananiumba alisahau kuniwekea
Fyucha waifu