Mapenzi yanatutesa Wanachuo, ushauri wenu ni wa muhimu sana kwangu kipindi hiki

Hahaa duh ......br huna mke apo bali Una mtu ambae yupo naww Kwa interest fulani like maisha baada ya chuo nk

mkuu kwenye watanzania milioni 60 toa wanaume tuseme milion 25, wazee na watoto kama milioni 15, toa walioolewa na wasiotaka kuolewa labda milioni 3.....
Hivi kweli unafikiri katika milioni 18 ilobaki utakosa "wife wa kuoa" kweli ?

Jitafakari msomi kuna mahala unakwama.
imebidi tu Nicheke
Ushauri mzuri nitajitafakari msomi
 
Habari yenu wana jamvi!
Natumai mu wazima wa afya.

Nisipoteze Muda iko hivi

Kuna binti mmoja hapa chuoni niko Nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa
Ninampenda & analifahamu Hilo.

Ndo niliepanga toka awali awe Mama watoto (Kama Mungu atabariki) .

Nimekuja kugundua Yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.

Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana.
Nimemuomba aachane na huyo Jamaa Kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia.
Nimemuuliza Kama ana future nae
Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).

Hebu nisaidieni wakubwa
Make Niko njia panda
Kumpenda nampenda sana.

Jf is my home where I can get every advice I need.
Miezi sita yote hiyo hujampa mimba tu?
 
imebidi tu Nicheke
Ushauri mzuri nitajitafakari msomi
Kweli mkuu ni utani ila tafakari vizur ndugu ....mwenzio anacheza na double chance hapo.
em kaa fikiria siku anaamka anasema m naww basi naenda kuolewa , utapitia wakati gani mgumu ndugu.

sometimes wanaume tumeumbwa na mioyo migumu ya kufanya maamuzi magumu kwa lengo zuri Tu la familia zetu Kwa baadae. kuna mahala unahitajika kua na huruma ila kitachotokea mbele hutoonewa huruma. I know them (mark my words)

nimemaliza ,nakuombea Mungu akupe Nuru 😁
 
Dogo
Habari yenu wana jamvi!
Natumai mu wazima wa afya.

Nisipoteze Muda iko hivi

Kuna binti mmoja hapa chuoni niko Nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa
Ninampenda & analifahamu Hilo.

Ndo niliepanga toka awali awe Mama watoto (Kama Mungu atabariki) .

Nimekuja kugundua Yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.

Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana.
Nimemuomba aachane na huyo Jamaa Kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia.
Nimemuuliza Kama ana future nae
Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).

Hebu nisaidieni wakubwa
Make Niko njia panda
Kumpenda nampenda sana.

Jf is my home where I can get every advice I need.
Dogo soma achana na mabinti utawakuta tu
 
Kweli mkuu ni utani ila tafakari vizur ndugu ....mwenzio anacheza na double chance hapo.
em kaa fikiria siku anaamka anasema m naww basi naenda kuolewa , utapitia wakati gani mgumu ndugu.

sometimes wanaume tumeumbwa na mioyo migumu ya kufanya maamuzi magumu kwa lengo zuri Tu la familia zetu Kwa baadae. kuna mahala unahitajika kua na huruma ila kitachotokea mbele hutoonewa huruma (mark my words)

nimemaliza ,nakuombea Mungu akupe Nuru
I'm happy with this
Thanks
 
Embu mtoe kwenye malengo

Mchukulie nikm malaya ivi.

USIWE NAYE WIVU KABISA .

USIMUULIZE WALA USITAFUTE KUJUA MASUALA YA JAMAA YAKE.


Ukiwa naye wee pigaaa weee jipigieeeeee sana tuuuu




Utanishukuru baadae.
 
Nikikuonesha texts zangu tulizoexchange jana na leo utacheka. Mimi uongo na fake life siwezi kabisa, sasa yeye anachukulia advantage anauliza mipango yangu anajua namna ya kuexploit na vile siwezi multiple relationship sasa.

Ikitokea nina hela anapiga kizinga. This week tunamaliza UE anataka twende vacation, hela ipo na anajua ila ananambia eti hataki sex. Nimemuuliza uko tunakoenda kuna mkutano au kuna nini hasa tunaenda fanya?

Hapa kati ashaniomba hela ya mchezo eti wanazungusha anataka aanze kuweka savings, ni baada ya mimi kumwambia ninafanya savings benki. Hela yenyewe nyingi, afu bado outings na zawadi na dharula kadhaa.

Nimemwambia kama unataka nikuhudumie hilo sio tatizo, ila ujue ni two way traffick. Alijua nimezama sana kumbe hajui akili yangu haijawahi nisaliti kwenye mapenzi. Uzuri wake sio sababu ya kunitesa tutapambana. Uwezekano wa yeye kuacha sex naupa 0%, nihudumie kama mume afu yeye ahudumie kama friend?

Akiondoa sex tu, naondoa hela na outings kwenye mahusiano. Eti twende location tuangaliane kama majasusi, hapana.
 
Habari yenu wana jamvi!
Natumai mu wazima wa afya.

Nisipoteze Muda iko hivi

Kuna binti mmoja hapa chuoni niko Nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa
Ninampenda & analifahamu Hilo.

Ndo niliepanga toka awali awe Mama watoto (Kama Mungu atabariki) .

Nimekuja kugundua Yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.

Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana.
Nimemuomba aachane na huyo Jamaa Kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia.
Nimemuuliza Kama ana future nae
Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).

Hebu nisaidieni wakubwa
Make Niko njia panda
Kumpenda nampenda sana.

Jf is my home where I can get every advice I need.
Soma kwanza,naona una akili za kitoto bado, hakuna mpenzi mkweli chuoni

Kifupi ni hivyo wala usiulize tena
 
Nikikuonesha texts zangu tulizoexchange jana na leo utacheka. Mimi uongo na fake life siwezi kabisa, sasa yeye anachukulia advantage anauliza mipango yangu anajua namna ya kuexploit na vile siwezi multiple relationship sasa.

Ikitokea nina hela anapiga kizinga. This week tunamaliza UE anataka twende vacation, hela ipo na anajua ila ananambia eti hataki sex. Nimemuuliza uko tunakoenda kuna mkutano au kuna nini hasa tunaenda fanya?

Hapa kati ashaniomba hela ya mchezo eti wanazungusha anataka aanze kuweka savings, ni baada ya mimi kumwambia ninafanya savings benki. Hela yenyewe nyingi, afu bado outings na zawadi na dharula kadhaa.

Nimemwambia kama unataka nikuhudumie hilo sio tatizo, ila ujue ni two way traffick. Alijua nimezama sana kumbe hajui akili yangu haijawahi nisaliti kwenye mapenzi. Uzuri wake sio sababu ya kunitesa tutapambana. Uwezekano wa yeye kuacha sex naupa 0%, nihudumie kama mume afu yeye ahudumie kama friend?

Akiondoa sex tu, naondoa hela na outings kwenye mahusiano. Eti twende location tuangaliane kama majasusi, hapana.
Daah
Hapo nina nafuu
 
Back
Top Bottom