Goguryeo
JF-Expert Member
- May 17, 2019
- 2,503
- 4,501
Hahaa ivi huo ujasiri anautoa wapi aisee......huyo jamaa wa kijijini anaongoza mpaka sasa
yeye 3 wewe 1 😁😁😁
yani ww upo karb na huyo bint bt anayo confidence ya kukwambia future anaiona kote huoni huo ni upuuzi mkuu.
LABDA HUYO BINTI ATAWAOA WOTE😁