Umenichekesha kweli huo mkwara wa 2018... lol,Duuu pole mkuu na mi nina msara kama wako lakini nina kama siku 3 nimepata nafuu kidogo ni baada ya kumtwanga sms moja matata nilimwambia mwaka umekwisha sitaki kununiwa bila sababu kwamba akiendelea me nitamuhacha hapa toun naenda zangu kijiji kulima
Kwann usichangie mada badala ya kutafuta jinsia ya mtoa mada.... lol.Mbona bado kwanza nachanganya jinsia ya mtoa mada
Unaandikisha sensa??Jinsia yako plz! Tuanzie hapo..
Labda anaendeshwa na kabangi.Anafurahia tena sana tu ila kila mwezi ndio analianzisha akitulia anaomba msamaha yaan kama hali flan hivi inampitia.
Hatumii kabisa.Labda anaendeshwa na kabangi.
Yah! Nataka nikupe uponyaji!!Unaandikisha sensa??
He he he he!!! Hilo neno " tunazibabua" limenipaMtie kofi zito atakaa sawa, kumbuka hata betri za redio zilikuwa zikizengua tunazibabua chini tunarudishia zinakuwa sawa.
Nipatie tu uponyaji jamaniii... au uponyaji unabagua jinsia??Yah! Nataka nikupe uponyaji!!
Daah siwezi kumpiga kabisaaa.... hilo jambo lilinishinda.Mtie kofi zito atakaa sawa, kumbuka hata betri za redio zilikuwa zikizengua tunazibabua chini tunarudishia zinakuwa sawa.
sawa mi mtu mzima nishakuelewa.Mbona mada ipo wazi bro.... toa ushauri kwa kadiri unavyo ona inafaa.
sawa mi mtu mzima nishakuelewa.
Hahaha imebidi kwanza nicheke maana duuh sio kwa kuorodhesha huku....1. Wewe ni jinsia gani? Ingawa unajiita culture gal hili jina hali guarantee wewe kuwa mwanamke.
2. Nahisi hiyo unayosema kwa mwezi ananuna mara moja basi huyo atakuwa ni kipindi kile yupo period.
3. Alisema umemtelekeza maana yake yeye ni mwanamke na wewe ni mwanaume ingawa unajiita culture gal. Au wewe mwanamke ila umemuoa yeye.mwanaume hawez kusema maneno hayo ya kumtelekeza na kumnyanyasa.
4. Je wewe ni lesbian au shoga? Au yeye ni shoga? Au wewe ni mwanaume ila huwa unajifanya mwanamke na leo umejisahau?
5. Kama wewe ni mwanamke wa kawaida achana na huyo unayemwita mpenzi maana hamna mwanaume hapo.una kavulana na mna behave kama watoto. Nitafute nikupe ushauri zaidi.
aisee nitampeleka maabara kabisa.... lolUYo atakua ke au anamamb ya kike mchunguze vizur