shalolizo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2013
- 336
- 203
Habari za asubuhi wana jf wenzangu,
Mwenzenu mapenzi yananinitesa mpaka muda mwingine nafikiria kumdhuru aliyekuwa mpenzi wangu na kujidhuru mimi mwenyewe.
Nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tumedumu katika uhusiano kwa miaka 2 na nilishamwambia kwamba mwaka 2014 ndo tutafunga ndoa,,lakini gafla mpenzi wangu akabadilika hali iliyopelekea mm kumwambia tuachane,,lakini baada ya siku mbili nikaona uamuzi niliofanya siyo sahihi,nikarudi ili tuyamalize na hapo ndipo alipogoma mpaka leo hataki kurudiana na mm.
Kuna kipindi nilipandwa na hasira mpaka nikamtishia kisu,nimejaribu kumsahau lakini nimeshindwa kuishi bila yeye,nimemuomba radhi sana lakini ameendelea kushika msimamo wake kwamba hawezi kurudiana na mm na tuwe marafiki tu.
Muda mwingine nafikiria bora nimwagie hata tindikali tu ili na yeye asikie maumivu kama ninayopata mm,,kwa kweli nimehathirika kisaikolojia mpaka nashindwa kula wala kulala.
Naombeni ushauri wenu jamani.
Mwenzenu mapenzi yananinitesa mpaka muda mwingine nafikiria kumdhuru aliyekuwa mpenzi wangu na kujidhuru mimi mwenyewe.
Nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tumedumu katika uhusiano kwa miaka 2 na nilishamwambia kwamba mwaka 2014 ndo tutafunga ndoa,,lakini gafla mpenzi wangu akabadilika hali iliyopelekea mm kumwambia tuachane,,lakini baada ya siku mbili nikaona uamuzi niliofanya siyo sahihi,nikarudi ili tuyamalize na hapo ndipo alipogoma mpaka leo hataki kurudiana na mm.
Kuna kipindi nilipandwa na hasira mpaka nikamtishia kisu,nimejaribu kumsahau lakini nimeshindwa kuishi bila yeye,nimemuomba radhi sana lakini ameendelea kushika msimamo wake kwamba hawezi kurudiana na mm na tuwe marafiki tu.
Muda mwingine nafikiria bora nimwagie hata tindikali tu ili na yeye asikie maumivu kama ninayopata mm,,kwa kweli nimehathirika kisaikolojia mpaka nashindwa kula wala kulala.
Naombeni ushauri wenu jamani.