dabluz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 2,456
- 1,669
Ila mkuu kama huyo dem wako kamfata kibabu ujue hapo kuna kitu.Hahah huu uzi ni wakila siku maana changamoto ni nyingi sana na sio mimi tu hebu share changamoto uliokumbana nayo ww
Inawezekana babu kajiongeza na kudumbukia mtarano.
Nawaza tu kwa sauti ya chini teh teh teh.