Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Katika mapenzi siku zote kuna huwa unafikia unaona kabisa mapenzi yamekwisha kabisaa
Hebu Fikiria inafika hatua mpenzi wako
1. Hakupigi simu mpaka umpigie na hata akikupigia anakusalimia tuu nothing more.
2.Na hata ukimpigia simu mkiongea hakuchangamki kama mwanzo yaani story za hapa na pale mnacheka na kufurahi.
3. Hakushirikishi Katika mambo yake anayoyafanya kama zamani unamuona mambo yake anafanya kimya kimya hataki wewe ujue.
4. Mpenzi wako anapoteza hisia za kimapenzi na wewe Yale majinq kama vile bby,Switi heart, love, my dear hakuiti tena
Ikishafikia hatua hii tunasema mapenzi yameisha hata ukijaribu kuongea nae anakwambia Hana tatizo na wewe na hata ukichunguza unagundua Hana mtu Ila tuu basi amepunguza tuu mapenzi kwako
Ni nini cha kufanya hatua kuchukua
Hebu Fikiria inafika hatua mpenzi wako
1. Hakupigi simu mpaka umpigie na hata akikupigia anakusalimia tuu nothing more.
2.Na hata ukimpigia simu mkiongea hakuchangamki kama mwanzo yaani story za hapa na pale mnacheka na kufurahi.
3. Hakushirikishi Katika mambo yake anayoyafanya kama zamani unamuona mambo yake anafanya kimya kimya hataki wewe ujue.
4. Mpenzi wako anapoteza hisia za kimapenzi na wewe Yale majinq kama vile bby,Switi heart, love, my dear hakuiti tena
Ikishafikia hatua hii tunasema mapenzi yameisha hata ukijaribu kuongea nae anakwambia Hana tatizo na wewe na hata ukichunguza unagundua Hana mtu Ila tuu basi amepunguza tuu mapenzi kwako
Ni nini cha kufanya hatua kuchukua