LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,449
Ndo kazi yangu nashika nywele na ndevu sana🙈Mkuu unaonekana wewe ni mtundu kwenye haya mambo
Ndo kazi yangu nashika nywele na ndevu sana🙈Mkuu unaonekana wewe ni mtundu kwenye haya mambo
ha ha ha ndio hivyo mkuu endelea kufurahia ubavu wakoNdo kazi yangu nashika nywele na ndevu sana🙈
Mkifika eneo la tukio kutafuta goli sio jambo la dakika moja huwa mnaweza enda enda kidogo mkipiga goli mnakua hoi raha sana...watu hawajui tu ila siri ya upendo baina ya wapenzi ni mgegedo yani mkiwa mnapeana mapenzi yananoga zaidi...walevi sio wachoyo ndiyo maana.Msisahau kushikana shikana na kuchum mda huo mkifika eneo l tukio mnamalizia tu
Hahaha umeshinda tano bila...huna mpinzaniKuna ukweli 200%
Mnajiachiaaa mnawekeana kwny kikundi story zinaendelea vizuri kbs huku mkipata choma choma
Au km ni wenyewe chumbani ama sebleni kwa raha zenuuu mnaanza kuweweseka mnasindikizana mnananiiii kidogo mnalalaaa vizuriiii kabisaa
Uchoyo hamna kabisaaMkifika eneo la tukio kutafuta goli sio jambo la dakika moja huwa mnaweza enda enda kidogo mkipiga goli mnakua hoi raha sana...watu hawajui tu ila siri ya upendo baina ya wapenzi ni mgegedo yani mkiwa mnapeana mapenzi yananoga zaidi...walevi sio wachoyo ndiyo maana.
HahahaaaahHAaa ukilala umelewa unasahau tabu zoteHahaha umeshinda tano bila...huna mpinzani
Pombe ikizidi kweli si nzuri jmn..nilizidisha dose siku moja waii...bahati niliwahi chumbani ...inaweza kukupa fedheha kubwaUkutane na binti amekunywa kiasi cha kutoa aibu sio kuzimika, yaan bado anajitambua, akiamua kukupa anakupa yote zima zima!
Ni mwendo wa mahaba tu mkikumbukana tu mnabebeana pombe mnaenda kuzinywa home mkimaliza ni kombatio chali kituuuuUchoyo hamna kabisaa
Leo umenunuliwaaa kesho unamnunulia mwenzako ajiskie raha na yeye
Pombe huleta faraja sana nafsiniHahahaaaahHAaa ukilala umelewa unasahau tabu zote
Ss mambo ya ofisini unaleta baa jmn?Sikubaliani na mtoa mada,kwani yeye kachukua sample ngapi kwa ajili ya research kutokea huko "Field" ?
We need plethora of evidence.
Huwa aibu ukata unafanya utundu woteNdo kazi yangu nashika nywele na ndevu sana
Sio lazima ukubali,na sio wote ni walevi ila tunaokunywa tunajua hili ni la kweli kabisa...tunachoangalia ni majoritySikubaliani na mtoa mada,kwani yeye kachukua sample ngapi kwa ajili ya research kutokea huko "Field" ?
We need plethora of evidence.
Kuna dogo mmoja mlevi kinyama ana she wake nae pombe nyingi..wakinywa wakilewa wakianza kuzinguana utasema hawa kesho wanaachana ukiingilia ugomvi wao aibu utaona wewe..wana mwaka wa tatu Sasa hawaachanagi wale viumbeNa wengi wanaopiga vitu vichungu wako smart sana....na ni vigumu kuchokana ukilinganisha na wale watumia fruto n.k
ha ha ha kuna ule usemi unaosema,ndege wafananao huruka pamoja; ndio maana wanaelewanaKuna dogo mmoja mlevi kinyama ana she wake nae pombe nyingi..wakinywa wakilewa wakianza kuzinguana utasema hawa kesho wanaachana ukiingilia ugomvi wao aibu utaona wewe..wana mwaka wa tatu Sasa hawaachanagi wale viumbe
Njoo upate kidogoNakuona mlevi mwandamizi unaendeleaje??