ha ha ha haSawa mkuu ngoja nilewe nikayanogeshe home
Bila shakaKwa kawaida watu wenye same interests wakikutana lazima iwe full burudani...sio kwa wapenzi watumiaji pombe tu,hata wasiotumia
ha ha ha tatizo wale wa fanta,mirinda n.k wanakuwa wanaoneana aibu za hapa na paleKwa kawaida watu wenye same interests wakikutana lazima iwe full burudani...sio kwa wapenzi watumiaji pombe tu,hata wasiotumia
Ni kweli mkuuMkiwa wote mmakunywa pombe utamu huwa upo kwenye mgegedo
ha ha ha yote mkuuMapenzi au ngono?
ha ha ha hawa wapiga vitu vya sukari kwa asilimia kubwa mapenzi yao ni ya kuvizianaSana Yani Mapenzi ya Hivyo ni Mahaba
Ukipiga tungi unarahisha kaziMapenzi ya watu wanaopiga pombe huwa ni matamu sana na yenye furaha ukilinganisha na wale wanaotumia vitu vitamu vitamu kama juisi,soda n.k Hawa wanaotumia vilevi vya pombe huwa wana zile swaga au hamasa katika kuleta furaha katika mapenzi.Kama hamjalithibitisha hilo,ingieni field.
Na wengi wanaopiga vitu vichungu wako smart sana....na ni vigumu kuchokana ukilinganisha na wale watumia fruto n.kHata tunaokunywa fanta passions,Pepsi Big huwa tunapendana jamani, mbona Uzi unatutenga huu, kuna walevi nawafahamu na ni wanafki kama kawaida
Unakunywa kistaarabu.....wanaita kunywa kisomiUkipiga tungi unarahisha kazi
Jaribu ukiwa mombasa uone
Ni kweli mkuu..huwa inapendeza sanaKuna ukweli 200%
Mnajiachiaaa mnawekeana kwny kikundi story zinaendelea vizuri kbs huku mkipata choma choma
Au km ni wenyewe chumbani ama sebleni kwa raha zenuuu mnaanza kuweweseka mnasindikizana mnananiiii kidogo mnalalaaa vizuriiii kabisaa
Mkinywa vilevi mioyo inafunguka sana mapenzi yananoga sana ...mnakua mateka kwa kila mmoja wenuHata tunaokunywa fanta passions,Pepsi Big huwa tunapendana jamani, mbona Uzi unatutenga huu, kuna walevi nawafahamu na ni wanafki kama kawaida
ha ha ha haPombe ni kiungo muhimu sana, tena mnoo katika mapenzi! Weka bia hapo, weka wine hapo.
Raha ya mechi bao. Wale legelege vumbi la Kongo badolipo njoo DM.
Regards.
WamekufanyajeWalevi bwana!
Msisahau kushikana shikana na kuchum mda huo mkifika eneo l tukio mnamalizia tuMkinywa vilevi mioyo inafunguka sana mapenzi yananoga sana ...mnakua mateka kwa kila mmoja wenu
Mkuu unaonekana wewe ni mtundu kwenye haya mamboMsisahau kushikana shikana na kuchum mda huo mkifika eneo l tukio mnamalizia tu