Rocky City
JF-Expert Member
- Nov 22, 2017
- 874
- 662
Ha wapi mkuu.Ni kweli lakini pia huwa kijana mdogo anapofanya mapenzi na mtu aliyemzidi umri ni kuwa,Kijana anaanza kuzeeka wakati mzee anarudi kwenye ujana...yaan mnakuwa mnabadilishana zile chembechembe za ukuaji zinazobadili muonekano na tabia za mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app