Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,280
- 3,345
Imebainika:wanandoa wanaweza wakaa mwezi mzima wakashiriki tendo la ndoa mara mbili tu na hali wanalala chumba na kitanda kimoja na pia wanaelekea upande mmoja,na inapotokea wanandoa hao wakawa sio waaminifu hushiriki ngono hata kwa wiki mara tatu wengine mpk mara 4 tena kwa jitihada tofauti wanapokuwa na wake/wame zao,nini tatizo??