Mapenzi ya umbali mrefu ni heri muijue michepuko yenu kuliko kufichana na kudanganyana

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,026
Kuna haya mahusiano ya umbali mrefu unakuta mwanaume yupo Arusha na mwanamke yupo moro

Aidha ni kwasababu ya kazi, biashara, n.k, hivyo kupelekea kutoonana kwa muda mrefu japo mawasiliano yapo.

Nasikitika navyoona wengi wanavyodanganyana kama watoto, kila moja anamdanganya mwenzake yeye hana mchepuko.

Binadamu kaumbiwa tamaa za mwili (libido) ambazo inabidi zitulizwe, sasa mtu yupo arusha mwenzake yupo mbeya hawaonani karibu mwezi kuna haja gani ya kuendelea kudanganyana??

Mtu anahitaji mtubwa kuongea nae kama mpenzi wake, kukiss nae, kushikishana nae mambo yake kwa ukaribu, n.k haya mambo tuwe tunaweka wazi tu.

Ni heri mtambulishane tu kwamba huyu mchepuko wake ni fulani na hivyo hivyo kwa mwengine,
 
Nakumbuka miaka 10 iliyopita Mr wangu alitaka kuingia jeshini nikamwambia ukikubali tu kwenda mm huku nakusaliti awwww mbona ali cancel sasa hivi ni mfanyabiashara na maisha yanasonga.
. Atakua MWANAUME WA DAR huyo .....yan ana cancel Kisa manz ......hawa ndo wanakuja kulia lia humu if......
 
Mm hata nikiwa nae mtaa mmoja siwez kumuamin demu wangu .....akiwa mbali ndo kabsaa
 
Kumekucha Mjadala Mchachu Huu
Kuna Jamaa Yangu Alikuwa Dar es Salaam
Mkewe Kahamishiwa Dodoma, Kila Siku Kazini Watu Wanapiga Soga Kuwa Huko Dodoma Mkeo Anapigwa Tu


Jamaa Kwa Hasira Sana Hakuomba Uhamisho Alibeba Bag Lake Dodoma Akamwambia Mwajiri Niko Nimemfuta Mke Wangu Dar es Salaam Sirudi.
 
Usije ukafanya icho kitu utaumia aisee, hata ukifumaniwa we weka ngumu kua sio mchepuko wako.
 
Back
Top Bottom