Mapenzi ya simu,tuliachana kabla ya kuwahi kuonana

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,095
103,347
Leo nimepata wasaa wa kukumbuka historia yangu ya mahusiano ya kimapenzi na kina Dada niliowahi kujamiiana nao.

Nimefarijika kuona records sio mbaya sana. The list is short kama utekelezaji wa ahadi za Magufuli.

Kukumbuku ya kijinga ni hii ya kuwa na mahusiano "ya kwenye simu" na mtoto akiitwa Teddy(sio jina lake halisi).

Ilikuwa mwanzoni mwa 2011 nikihangaika kutafuta ajira hapa na pale baada ya kumaliza degree yangu ya kwanza. Nakumbuka nilipewa namba yake na mdogo wangu wa kike akiwa ni mate wake secondary moja huko Kahama,lengo ilikuwa anipekelee barua ya maombi pale Anderlake schools.

Nikamuunganishia juu kwa juu mpaka tukawa wapenzi,mapenzi mazito kabisa,nikiwa Dar yeye hapo Kahama. Kipindi hicho sikuwa na mzuka sana na mademu kwa sababu nilitoka kuachwa baada ya kutokuwa na kazi. Kwa hiyo hata kumfungia dogo safari haikuniingia akilini. Ajabu dogo alikuwa akinikubali sana,ananipenda kuliko kawaida mpaka ananitumia nauli za kutafutia kazi..... Hatujuani wala hayujawahi kuonana.

Ikapita miezi sita kavu.....mwisho ikatimia mwaka tukiishi kama wapenzi tukiaminiana na kutumia kadi na picha zetu....Usiku kukesha kufanya mapenzi kwenye simu.

Likatokea tatizo(sitaweza kulitaja) baada ya mwaka tukaachana huko huko kwenye simu.....yaani tulikuwa wapenzi kupitia simu , tukadumu mwaka......tukaachana kabla ya kuwahi hata kuonana.

This is foolish moments

Mapenzi ya kwenye simu, wewe unakumbuka yapi?
 
Leo nimepata wasaa wa kukumbuka historia yangu ya mahusiano ya kimapenzi na kina Dada niliowahi kujamiiana nao.

Nimefarijika kuona records sio mbaya sana. The list is short kama utekelezaji wa ahadi za Magufuli.

Kukumbuku ya kijinga ni hii ya kuwa na mahusiano "ya kwenye simu" na mtoto akiitwa Teddy(sio jina lake halisi).

Ilikuwa mwanzoni mwa 2011 nikihangaika kutafuta ajira hapa na pale baada ya kumaliza degree yangu ya kwanza. Nakumbuka nilipewa namba yake na mdogo wangu wa kike akiwa ni mate wake secondary moja huko Kahama,lengo ilikuwa anipekelee barua ya maombi pale Anderlake schools.

Nikamuunganishia juu kwa juu mpaka tukawa wapenzi,mapenzi mazito kabisa,nikiwa Dar yeye hapo Kahama. Kipindi hicho sikuwa na mzuka sana na mademu kwa sababu nilitoka kuachwa baada ya kutokuwa na kazi. Kwa hiyo hata kumfungia dogo safari haikuniingia akilini. Ajabu dogo alikuwa akinikubali sana,ananipenda kuliko kawaida mpaka ananitumia nauli za kutafutia kazi..... Hatujuani wala hayujawahi kuonana.

Ikapita miezi sita kavu.....mwisho ikatimia mwaka tukiishi kama wapenzi tukiaminiana na kutumia kadi na picha zetu....Usiku kukesha kufanya mapenzi kwenye simu.

Likatokea tatizo(sitaweza kulitaja) baada ya mwaka tukaachana huko huko kwenye simu.....yaani tulikuwa wapenzi kupitia simu , tukadumu mwaka......tukaachana kabla ya kuwahi hata kuonana.

This is foolish moments

Mapenzi ya kwenye simu, wewe unakumbuka yapi?
Nilikuwa nawaona sana sema tu niliamua kukaa kimya
 
Leo nimepata wasaa wa kukumbuka historia yangu ya mahusiano ya kimapenzi na kina Dada niliowahi kujamiiana nao.

Nimefarijika kuona records sio mbaya sana. The list is short kama utekelezaji wa ahadi za Magufuli.

Kukumbuku ya kijinga ni hii ya kuwa na mahusiano "ya kwenye simu" na mtoto akiitwa Teddy(sio jina lake halisi).

Ilikuwa mwanzoni mwa 2011 nikihangaika kutafuta ajira hapa na pale baada ya kumaliza degree yangu ya kwanza. Nakumbuka nilipewa namba yake na mdogo wangu wa kike akiwa ni mate wake secondary moja huko Kahama,lengo ilikuwa anipekelee barua ya maombi pale Anderlake schools.

Nikamuunganishia juu kwa juu mpaka tukawa wapenzi,mapenzi mazito kabisa,nikiwa Dar yeye hapo Kahama. Kipindi hicho sikuwa na mzuka sana na mademu kwa sababu nilitoka kuachwa baada ya kutokuwa na kazi. Kwa hiyo hata kumfungia dogo safari haikuniingia akilini. Ajabu dogo alikuwa akinikubali sana,ananipenda kuliko kawaida mpaka ananitumia nauli za kutafutia kazi..... Hatujuani wala hayujawahi kuonana.

Ikapita miezi sita kavu.....mwisho ikatimia mwaka tukiishi kama wapenzi tukiaminiana na kutumia kadi na picha zetu....Usiku kukesha kufanya mapenzi kwenye simu.

Likatokea tatizo(sitaweza kulitaja) baada ya mwaka tukaachana huko huko kwenye simu.....yaani tulikuwa wapenzi kupitia simu , tukadumu mwaka......tukaachana kabla ya kuwahi hata kuonana.

This is foolish moments

Mapenzi ya kwenye simu, wewe unakumbuka yapi?
Ndio maana network zinasumbua, kumbe mnafanyia huko kwa simu!
Itabidi tuanzishe huduma ya kutuma manii, unamtumia mpenzi then anajiwekea huku unampa mzuka kwa simu, mtoto akizaliwa sijui utamuita "kwasimu" au "kasimu"
 
Ndio maana network zinasumbua, kumbe mnafanyia huko kwa simu!
Itabidi tuanzishe huduma ya kutuma manii, unamtumia mpenzi then anajiwekea huku unampa mzuka kwa simu, mtoto akizaliwa sijui utamuita "kwasimu" au "kasimu"
Hahaha
 
Hayo mapenzi kwenye simu mlikumbuka kinga lakini?

Hivi unampendaje mtu katika simu tu?mi nashindwa kuelewa kwa kweli mtu anakuwaje na 'mapenzi mazito' na mtu ambaye hajawahi muona...unakuwa umependa nini haswa?
mapenzi ni upofu........
 
Hayo mapenzi kwenye simu mlikumbuka kinga lakini?

Hivi unampendaje mtu katika simu tu?mi nashindwa kuelewa kwa kweli mtu anakuwaje na 'mapenzi mazito' na mtu ambaye hajawahi muona...unakuwa umependa nini haswa?
Mapenzi hisia mama,kuna vipofu wanawivu balaa na hawajawahi kuwaona wenzi wao
 
Back
Top Bottom