Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,794
- 3,723
Nina bint yangu yuko form two. Nilikuwa najaribu kufuatia mwenendo wake nikagundua vijana wameshaanza kumchakachua,nilipofuatilia kwa karibu zaidi nikagundua ana kaboyfriend shulen na kijana mmoja mitaa ninayoishi naye ni mwanafunzi ila anasoma shule nyingine. Nilimweleza mama yake akae naye ampe darasa, hvyo mama yake alichua jukumu hilo ambapo jana alikaa naye na kumweleza impact ya kujihusisha na mambo ya mapenzi wakati anasoma, na moja ya mambo aliyomweleza kuwa wanaume ni wabaya sana, si watu wazuri na watamwaribia maisha yake. Lakini binti naye akamwuliza mama yake kama anasema wanaume ni wabaya mbona weweunaishi na baba,kwani yeye sio mwanaume na si mbaya? Huogopi atakuharibia maisha yako?,wife akashindwa kuendelea kukapa councelling akaja kunieleza. Nimechoka nashindwa hata nimfanye nini huyu mtoto manake hasikii na siku zinavyokwenda nako kanazid kuchanganyikiwa na malavidavi. Jaman hebu nisaidien dawa/njia ya kumpunguza spindi huyu mtoto. Au nikapeleke kwa bibi akakakekete kukapunguza speed?.