Mapenzi ya Kikwete kwa Haji Mponda na Lucy Nkya, Mauti kwa Watanzania Masikini

Ruta,
salute! naongezea kidooogo kwenye parandesi "uchumi dororo" (afya gogoroooo)
 
Aiseee! umeamka asubuhi hii ukaona leo usipoandika kitu JF siku kwako haitaisha! Please rethink harafu urudi tena kutetea hoja yako.

Rutashubanyuma katoa mawazo yake ambayo si lazima yafanane na mawazo yako. Kama unapinga mawazo yake toa hoja il aitetee. Sasa hata akirudi atatetea nini wakati huna hoja uliyoitoa?
Nadhani Kengemumaji you need to rethink harafu urudi utoe hoja ya kumpinga Rutashubanyuma.
 
Ni ukweli mtupu..................

Zaidi ya hayo uliyoyaandika, ni huyo huyo Pinda anayewakingia kifua wale wezi wa kampuni ya UDA; ile kuunda tume ya kuchunguza ni danganya toto tu na sina hakika inawezekana anafanya hivyo kwa maelekezo ya boss wake kwani huyo bwana sasa yupo hapo kuiba tu na sio kutawala!!
 
Pinda alisema Dk Mponda mwenyewe anayelalamikiwa ndiyo kwanza ana mwaka mmoja na nusu kazini na hata madai mengine hayajui kwa kuwa hakuwepo wakati huo akisema shinikizo la kutaka awajibishwe ni kumuonea.


Sidhani kama huu ni utetezi kusema kuwa yeye ni mgeni wizarani hajui kinachoendelea
Kwani waziri aliyekuwepo aliondoka na mafile au documents za ofisi zote mpaka anayekuja anakuja kuanza upya kuandaa ya kwake
Tusitumie udhaifu wa mtu kusema kuwa eti yeye ni mgeni wizarani hajui lolote
Hata ukikabidhiwa wizara siku mbili na baada ya siku mbili mgomo ukaanza ina maana madai ya wanaogoma yalikuwepo wizarani muda na unatakiwa ujue kuwa kuna hilo
Au hawakabidhiani majukumu na taarifa za kazi kabla hawajaachiana ofisi
japo siungi mkono mgomo ila kwa hili sikubaliana kabisa

 
Baadae maji yakiwa marefu ataanza kutaka majadiliano ya kwenye meza wakati hapo ameshajikita kwenye kauli ya kimabavu.
 
Kwa wale wanaomfahamu Pinda walishtushwa sana pale ambapo aliteuliwa kuwa PM baada ya E.L kubwaga manyanga........wengi wetu wa ambao tunamfahamu vizuri tulimwona ni kiongozi dhaifu ambaye ni bendera fuata upepo. Tulipojaribu kuhoji sifa za Pinda lakini tukanyamazishwa ya kuwa apewe muda wa kutosha kabla ya kuhukumiwa..................ninaamini muda kapewa wa karibu miaka 4 hivi na utendaji wake una walakini mkubwa..........

Kwanza hana maamuzi thabiti.

a) Kwenye swala la mahakama za kadhi, yeye akiwa mwanasheria- pamoja hajawahi kukanyaga mahakamani na kumtetea mtu yoyote yule- i.e he lacks judicial experience..... alilipotosha bunge ya kuwa hilo linawezekana ndani ya katiba yetu jambo ambalo ulikuwa ni upotoshaji. Mhe. Samweli Sitta ndiye aliyeokoa jahazi pale alipotoa ufafanuzi sahihi kuwa katiba yetu inakataza upendeleo wowote ule wa kidini!!!!!!!!!

b) Kwenye suala la mauaji ya kikatili dhidi ya malbino majawabu yake yalikuwa kutoa machozi ya mamba na kujaribu kuturubuni kwa kusaka huruma zetu ambazo nazo si haba.............na haba haba hujaza kibaba. Hadi leo hajaweka mikakati yoyote zaidi ya kuwadhulumu waganga asilia haki yao ya kujitafutia kipato kwa kuwatupia lawama ambazo hazina ushahidi. Na ana bahati sana ya kuwa waganga tajwa hawakwenda mahakamani kumshtaki kwa kuwachafua majina yao na kuwazuia kujipatia kipato khalali.........

c) Kwenye suala la uwajibikaji wa watendaji serikalini baada ya kashfa ya Dowans/Richmond wakiwemo kibosile wa Takukuru; Dr. Hosea, Pinda amekuwa mstari wa mbele kukwamisha jitihada za bunge kuwawajibisha wakorofi tajwa hususani kibosile wa Takukuru ambaye bila ya aibu alilidanganya bunge na taifa kwa ujumla ya kuwa hakuna ufisadi kwenye richmond jambo ambalo Bunge kupitia kamati yake teule iliyoongozwa na Mwakyembe ilibaini vinginevyo. La ajabu hadi alipostaafu mwishoni mwa mwaka jana, Dr. Hosea aliendelea kutesa pale takukuru na hii inathibitisha Pinda si kiongozi mwenye dhamira ya kutoa maamuzi imara wakati yanapohitajika.

d) Kwenye sakata la katibu mkuu pale Wizara ya Nishati Pinda alitoa majibu yenye utata. Kwanza akiunga mkono hoja za wabunge kuwa mhusika alipaswa kuachia ngazi halafu baadaye akidai yeye siye mteuzi wa nyadhifa husika. Yeye mweyewe kwenye nafasi ya U-PM huhusika katika uteuzi wa nyadhifa zote serikalini lakini kwa sababu hana ushawishi wa kisiasa wa kutosha basi amekuwa akiegemea upepo kadri unavyomsukuma!!!!!!!!!!!

e) kushindwa kumshauri Raisi ya kuwa malalamiko ya wafanyakazi wote wa umma hususani ndani ya serikali kuu na serikali za mitaa yanatokana na kuwepo mihimili mingi ya kupanga masilahi ya wafanyakazi na Hazina kushindwa kutekeleza majukumu yake ya kisheria ya kuratibu mahitaji hayo. Katika khali hii taifa linaendelea kuyumba kutokana na kuwa na waziri mkuu asiye na uwezo kwa majukumu aliyopewa na JK kwa sababu za kujilinda nafsi yake. JK kama walivyo maraisi waliomtangulia hupendelea kuteua PM dhaifu ili kujilinda wao wenyewe wasifunikwe na PM chapakazi endapo angeliteuliwa.

Unafiki wa wazi.

Kama nilivyobaini hapo awali ni dhahiri Pinda ni mtaalamu wa unafiki na hutumia kauli za upole kuhadaa watu kuwa ni kiongozi mwaminifu na ambaye anajali masilahi ya taifa lakini ukweli lazima tuufichue ya kuwa Pinda ni mtaalamu wa kujali masilahi yake binafsi na ndiyo maana hawezi kushauri maamuzi ambayo yanatofautiana na bosi wake au ya wale anaowaona wako karibu na bosi wake.

Mapendekezo.

Wakati sasa umefika kujiuliza hivi JK na Pinda ni viongozi sahihi katika safu ya uongozi wa juu wa taifa hili? Nionavyo Pinda aonyeshe njia kwa kujitoa kafara khalafu JK aamue kusuka au kunyoa........................kwani hiki kitanzi cha kushindwa kurekebisha uchumi hakitamwacha salama...................utashangaa hivi sasa BOT wanazungumzia kuanzisha noti za 50,000/= na laki moja................................na huku baadhi ya watendaji waandamizi ndani ya BOT wanafikiria kupika muswada wa kufuta sifuri tatu kwenye sarafu yetu kama Zimbabwe walivyofanya na bila ya mafanikio zaidi ya kuitelekeza sarafu yao sasa wao ni US dola mtindo mmoja........................

Bye-bye Pinda & na JK wake...........................uchumi dororo ndiyo utawauumbua......

Mkuu nina differ na analysis yako na hatimaye conclusion inayofuatia.
Analysis yako lacks depth.
Ina gusia gusia tu mambo kijuu juu, mengine serious kabisa.
Utawala wa nji hii kwa leo si ule wa miaka 10 au 15 iliyopita.Mambo mengi tunayoyaona hayana maelezo yanayokidhi.
Katika mazingara haya hakuna kiongozi asiyefahamu kinachoendelea ndani na katika uongozi.
Kumbebesha zigo la lawama Mtoto wa Mkulima you are not being fair even to your own intelligence.
Hebu tuanza na mambo ambayo Taifa imeyaona:

RICHMOND-nani asiyejua madudu yaliyomo na hatujafikia mwisho
EPA-hapo usiseme maana ni wachache tu waliowajibishwa kufunika kombe
BALALI-kafa au mzima?Mungu anajua
LIYUMBA NA BIL 200-ati mwanaume kasepa na zote hizo,peke yake!, halafu kafungwa miezi 24!
RADAR-kwani kuna tatizo hapaa? lakini kila mtu anajua tatizo liko wapi na kwa nani
MEREMETA-du hapa ndio tupo kambini, tuseme nini?


Kuna mengine mengi sana ya ATC,RELI, TANESCO na Ngeleja wake, na ya leo leo madaktari na migomo.

Sasa Mkuu Rutashubanyuma mambo yote hayo ni PENDING na yako kwenye INTRAY,yanahitaji inputs toka idara na sehemu nyingine nyingi tu za serikali yetu.
Sasa kama utawala kwa pamoja umeamua hali iwe hivyo, basi inabidi serikali nzima iondoke kwa kukosa weledi.
PM ni Centre-Half. kama hapasiwi mipira inakuwaje?
Tena mipira mingine ni ya juu kwa juu.
Tusisahau kuwa katika demokrasia yetu kitu kinachojitokeza leo ni YOU-SCRATCH-MY-BACK-I-SCRATCH-YOURS!
Somo la Dr Mwakyembe kupewa sumu ni tosha kabisa ya" hali ya situation".
Kama mnakumbuka wakati wa Richmond,Bosi wa chombo nyeti ,Takukuru alinukuliwa akisema kuna personalities ambao hata yeye hawezi kuwagusa.
Haya mambo kila mtu anayaona pamoja na unyeti wake na athari zake kwa mtu binafsi, kwani Pinda yeye hayaoni?
Mwamtakia nini Mtoto wa Mkulima.
 
Aiseee! umeamka asubuhi hii ukaona leo usipoandika kitu JF siku kwako haitaisha! Please rethink harafu urudi tena kutetea hoja yako.
Point yako ni nini hasa? Ruta amekosea wapi? Nina mashaka hata topic yenyewe hukuisoma zaidi ya kusoma heading tu.
 
Kikwete badala ya kushughulikia matatizo yanayoikabili nchi pamoja na matatizo ya migomo ya madaktari yeye anajishughulisha na misafara ya kutalii duniani, ni rais wa watanzania au ni waziri wa mambo ya nchi za nje?

Mkweree is behaving like a terminally sick person who has given up on life and therefore does not care about anything that takes place around him!! It is a strange and abnormal behaviour for a head of state to ignore the plight of his citizenry.
 
Ndugu mwana Jf, kama ni msomi mzuri wa magazeti na kusikiliza taarifa ya Habari utagunduwa haya. Siku za hivi karibun wananch wamekuwa wakizing'oa serikal zao walizo zichaguwa kwasababu tu yakutosikilizwa, nenda Misri, Siria, Libya, Tunisia nk utagundua ni uzembe wa serikal na kujisahau viongoz nakudhani jeshi laweza kuwalinda kumbe sivyo, kumbe mwanadam akifika mahali makukata tamaa hata uwamalize kwa Risas kamwe hawabadili msimamo.

Tumeona Libya jinsi rais wao alivyouwawa kikatili na aibu kubwa kosa lakujisahau, alimwaga usalama wa taifa nchi nzima kias walipo watu watano usalama yupo lakin wapi? Tumeshamzika. Rais wangu J. Kikwete napenda kukuambia watanzania wamechoka nawanao kushauri wanakuongopea take it from me.

WATANZANIA WAMECHOKA SANA, YANI WAKIPATA MTU AKAWAAMBIA TWENDE MSITUNI WANAENDA, SASA HAWA DAKTAR NDIÒ MSALABA WAKO KAMA UNATAKA KUJUWA UKWELI TAFUTA MKANDA WA YALE MAON YA WATANZANIA JUU YA MADAKTAR UTAGUNDUWA WATANZANIA HAWAWALAUMU MADAKTAR ILA SERIKAL YAO UKIONA HIVYO USICHEKE NA MAWAZIRI WAKO KILE MADAKTAR WANAKITAKA NI DHAHIRI NA WEWE NASERIKAL YAKO MNAWAJIBIKA, TAFADHAL RAIS WANGU ONDOA HAO MAWAZIR AND U SHAL SEE.

Nje ya hapo Mungu ibariki Tanzania na watu wake. Amen
 
Kila anochoongea huyu mkulima kinakuwaga kinyume na ukweli. Na ngoja tuone
 
Ushauri mzuri lakini lipo la kujiuliza kwa nini serikali iwakumbatie sana hawa wawili mpaka ikubali kupelekwa msalabani kusulubiwa kwa kipi hasa? Ni hii logic ya wakitii basi kila kundi litataka kuishinikiza serikali?
 
jamani madaktari tunaelekea wapi? mwanzoni mlieweka vizuri kabisa, mli fight kuondoa MFUMO ambao ni kikwazo kwa ustawi na maslahi ya madaktari na watumishi wote wa serikal kwa ujumla; lakini hili la kugoma tena ili kushinikiza viongozi wa wizara kutimuliwa kazi mimi linanitatiza kidogo. Waathirika wakuu hapa watakuwa ni WAGONJWA ambao mnadai kuwatetea, MTAWAUWA badala ya kuwatetea. Nashauri mashinikizo haya mngehamasisha yaendeshwe na wanaharakati na taasisi nyingine za kijamii kuliko kufanywa na nyie wataalam ambao move yenu ya mwanzo ilipokelewa na kueleweka vizuri kwa wananchi kwa ujumla.

Naomba tutie mkazo wa kuubadilisha MFUMO kuliko sasa tunavyo sisitiza ku deal na WATU. Ok. ataondoka Dk. Mponda, atakaye kuwa mbadala wake tuna uhakika naye gani?
 
Kwa wale wanaomfahamu Pinda walishtushwa sana pale ambapo aliteuliwa kuwa PM baada ya E.L kubwaga manyanga........wengi wetu wa ambao tunamfahamu vizuri tulimwona ni kiongozi dhaifu ambaye ni bendera fuata upepo. Tulipojaribu kuhoji sifa za Pinda lakini tukanyamazishwa ya kuwa apewe muda wa kutosha kabla ya kuhukumiwa..................ninaamini muda kapewa wa karibu miaka 4 hivi na utendaji wake una walakini mkubwa..........

Kwanza hana maamuzi thabiti.

a) Kwenye swala la mahakama za kadhi, yeye akiwa mwanasheria- pamoja hajawahi kukanyaga mahakamani na kumtetea mtu yoyote yule- i.e he lacks judicial experience..... alilipotosha bunge ya kuwa hilo linawezekana ndani ya katiba yetu jambo ambalo ulikuwa ni upotoshaji. Mhe. Samweli Sitta ndiye aliyeokoa jahazi pale alipotoa ufafanuzi sahihi kuwa katiba yetu inakataza upendeleo wowote ule wa kidini!!!!!!!!!

b) Kwenye suala la mauaji ya kikatili dhidi ya malbino majawabu yake yalikuwa kutoa machozi ya mamba na kujaribu kuturubuni kwa kusaka huruma zetu ambazo nazo si haba.............na haba haba hujaza kibaba. Hadi leo hajaweka mikakati yoyote zaidi ya kuwadhulumu waganga asilia haki yao ya kujitafutia kipato kwa kuwatupia lawama ambazo hazina ushahidi. Na ana bahati sana ya kuwa waganga tajwa hawakwenda mahakamani kumshtaki kwa kuwachafua majina yao na kuwazuia kujipatia kipato khalali.........

c) Kwenye suala la uwajibikaji wa watendaji serikalini baada ya kashfa ya Dowans/Richmond wakiwemo kibosile wa Takukuru; Dr. Hosea, Pinda amekuwa mstari wa mbele kukwamisha jitihada za bunge kuwawajibisha wakorofi tajwa hususani kibosile wa Takukuru ambaye bila ya aibu alilidanganya bunge na taifa kwa ujumla ya kuwa hakuna ufisadi kwenye richmond jambo ambalo Bunge kupitia kamati yake teule iliyoongozwa na Mwakyembe ilibaini vinginevyo. La ajabu hadi alipostaafu mwishoni mwa mwaka jana, Dr. Hosea aliendelea kutesa pale takukuru na hii inathibitisha Pinda si kiongozi mwenye dhamira ya kutoa maamuzi imara wakati yanapohitajika.

d) Kwenye sakata la katibu mkuu pale Wizara ya Nishati Pinda alitoa majibu yenye utata. Kwanza akiunga mkono hoja za wabunge kuwa mhusika alipaswa kuachia ngazi halafu baadaye akidai yeye siye mteuzi wa nyadhifa husika. Yeye mweyewe kwenye nafasi ya U-PM huhusika katika uteuzi wa nyadhifa zote serikalini lakini kwa sababu hana ushawishi wa kisiasa wa kutosha basi amekuwa akiegemea upepo kadri unavyomsukuma!!!!!!!!!!!

e) kushindwa kumshauri Raisi ya kuwa malalamiko ya wafanyakazi wote wa umma hususani ndani ya serikali kuu na serikali za mitaa yanatokana na kuwepo mihimili mingi ya kupanga masilahi ya wafanyakazi na Hazina kushindwa kutekeleza majukumu yake ya kisheria ya kuratibu mahitaji hayo. Katika khali hii taifa linaendelea kuyumba kutokana na kuwa na waziri mkuu asiye na uwezo kwa majukumu aliyopewa na JK kwa sababu za kujilinda nafsi yake. JK kama walivyo maraisi waliomtangulia hupendelea kuteua PM dhaifu ili kujilinda wao wenyewe wasifunikwe na PM chapakazi endapo angeliteuliwa.

Unafiki wa wazi.

Kama nilivyobaini hapo awali ni dhahiri Pinda ni mtaalamu wa unafiki na hutumia kauli za upole kuhadaa watu kuwa ni kiongozi mwaminifu na ambaye anajali masilahi ya taifa lakini ukweli lazima tuufichue ya kuwa Pinda ni mtaalamu wa kujali masilahi yake binafsi na ndiyo maana hawezi kushauri maamuzi ambayo yanatofautiana na bosi wake au ya wale anaowaona wako karibu na bosi wake.

Mapendekezo.

Wakati sasa umefika kujiuliza hivi JK na Pinda ni viongozi sahihi katika safu ya uongozi wa juu wa taifa hili? Nionavyo Pinda aonyeshe njia kwa kujitoa kafara khalafu JK aamue kusuka au kunyoa........................kwani hiki kitanzi cha kushindwa kurekebisha uchumi hakitamwacha salama...................utashangaa hivi sasa BOT wanazungumzia kuanzisha noti za 50,000/= na laki moja................................na huku baadhi ya watendaji waandamizi ndani ya BOT wanafikiria kupika muswada wa kufuta sifuri tatu kwenye sarafu yetu kama Zimbabwe walivyofanya na bila ya mafanikio zaidi ya kuitelekeza sarafu yao sasa wao ni US dola mtindo mmoja........................

Bye-bye Pinda & na JK wake...........................uchumi dororo ndiyo utawauumbua......

Kiongozi kuna mantiki hapo, ila ninavyo mfahamu Mizengo nadhani watu wengi hawamuelewi kabisa, na labda kosa lililofanyika ni la yeye kukubali nafasi hiyo ya U - PM. Mizengo ni mfanyakazi wa Serikali mwenye uadilifu, nidhamu na uwajibikaji wa hali ya juu, ni mtumishi wa Serikali aliyepikwa ktk yale maadili haswa, yeye ni technocrats na wala si mwanasiasa. Alipokuja kuingia ktk hizi nafasi za kisiasa ndiyo mambo yameanza kum-cost. Nahata hizi statement anazozi toa toa nyingine hajui afanye nini. Lakini Pinda kama Pinda kwa kweli ni muadilifu sana. Ila tu, nacho mshangaa hata mimi, kwanini asimwambie mkuu kuwa hiyo nafasi haiwezi? alisign?
 
Back
Top Bottom