Mapenzi ya Internet

MwanaHaki

R I P
Oct 17, 2006
2,401
705
Hivi inawezekana kweli watu wakafahamiana kupitia Internet, kisha wakaelewana mpaka wakaonana, na wakapendana mpaka wakaoana? Inawezekana?
 
Hivi inawezekana kweli watu wakafahamiana kupitia Internet, kisha wakaelewana mpaka wakaonana, na wakapendana mpaka wakaoana? Inawezekana?

Mwanahaki inawezekana kwa wengi huanzia hapo na kwakifupi mimi na shemlako tuna miaka mitano tulianzia kwenye sim kwa kukosea namba nilkuwa nje ya nchi nikakosea namba sautiniliyoiskia hapo nisriyangu nikaingiza fos king mwanzo anarusha nikipiga nakatiwa sim mara ina pokelewa nawekewa mziki hakuna mtuanaeongea mzee nkifiria sauti nakaseama hapa hatanikitumiwa polis hainashida nikanza SMS kaka nilitafut web zote za love cad nikawa natukanwa nikatumiwa msg toka kwa zakuonwa kama ntaendelea nitaripotiwa lakini mungu alisha weka sababutu ikatokea sikumoja nikatumia sim ya nijani nakuomba msamaha lakini nikajitambulisha kuwa sina nia mbaya tukanzakuongea mwisho wa yote mazee nikahamisha jumla sasa tuna mtoto wikike na mtarajiwa yupo njiani tunategemea mungu akitujalia na tunapendana kupita maelezo mtani kwetu wametupa jina la kumbikumbi kwakua kila sehem tupo benet mkuu kumkosa mwenzio hawezekani na nashukuru mungu jinsitunavyo ishi naupendo
 
Mwanahaki inawezekana kwa wengi huanzia hapo na kwakifupi mimi na shemlako tunamiaka mitano tulianzia kwenye sim kwa kukosea namba nilkuwa nje ya nchi nikakosea namba sautiniliyoiskia hapo nisriyangu nikaingiza fos king mwanzo anarusha nkipiga nakatiwa sim mara ina pokelewa nawekewa mziki hakuna mtuanaeongea mzee nkifiria sauti nakaseama hapa hataniki tumiwa polis hainashida nikanza SMS kaka nilitafut webu zote za love cad nikafaulu tukanzakuongea mwisho wa yote mazee nikahamisha jumla sasa tuna mtoto wikike na mtarajiwa yupo njiani tunategemea mungu akitujalia na tunapendana kupita maelezo mtani kwetu wametupa jina la kumbikumbi kwakua kila sehem tupo benet mkuu kumkosa mwenzio hawezekani na nashukuru mungu jinsitunavyo ishi naupendo

prof. wangu aliwahi kunambia distance love ni ngumu saana, but mkifanikiwa hadi kuja kuishi pamoja, that will add unique spice in your life.

back to topic, yep inawezekana but kuwa muangalifu.. saana
 
Mwanahaki inawezekana kwa wengi huanzia hapo na kwakifupi mimi na shemlako tuna miaka mitano tulianzia kwenye sim kwa kukosea namba nilkuwa nje ya nchi nikakosea namba sautiniliyoiskia hapo nisriyangu nikaingiza fos king mwanzo anarusha nikipiga nakatiwa sim mara ina pokelewa nawekewa mziki hakuna mtuanaeongea mzee nkifiria sauti nakaseama hapa hatanikitumiwa polis hainashida nikanza SMS kaka nilitafut web zote za love cad nikawa natukanwa nikatumiwa msg toka kwa zakuonwa kama ntaendelea nitaripotiwa lakini mungu alisha weka sababutu ikatokea sikumoja nikatumia sim ya nijani nakuomba msamaha lakini nikajitambulisha kuwa sina nia mbaya tukanzakuongea mwisho wa yote mazee nikahamisha jumla sasa tuna mtoto wikike na mtarajiwa yupo njiani tunategemea mungu akitujalia na tunapendana kupita maelezo mtani kwetu wametupa jina la kumbikumbi kwakua kila sehem tupo benet mkuu kumkosa mwenzio hawezekani na nashukuru mungu jinsitunavyo ishi naupendo

Ntinginya nimeipenda hiyo hiyo na ina mvuto wake mpe hongera yangu shemeji na amwage ka ujembe JF. Ila nadhani kila mtu amepangiwa mwenza wake kwa njia mbalimbali ila kwa upande wangu mimi nadhani nikimtongoza mwanamke kwenye simu nammudu na kuelewana naye haraka kuliko kumnyelea sana na zaidi sana nikisafiri na mtu naogopa hata kumsemesha maana kitakachoendela ni kitu nisicho kitegemea maana tunaweza kuanza mahusiano ya ghafla mno.

Hivyo tukirudi kwenye mada nataka kumwambia dada yangu kuwa yanawezekana mapenzi ya waya kama utakuwa mwangalifu zaidi usije ingia chaka ila hautakuwa umejua mambo yake mengi kama wewe ni mdadisi wa personal life ya mpenzi wako
 
prof. wangu aliwahi kunambia distance love ni ngumu saana, but mkifanikiwa hadi kuja kuishi pamoja, that will add unique spice in your life.

back to topic, yep inawezekana but kuwa muangalifu.. saana
Huyo Prof. si kwamba anajua yote, ila kuna jamaa yangu alikuwa anatafuta namba inayofanana na ile aliyonayo, akampata mdada wakati wa kujaribu.

Waliwasiliana hadi leo hii wanaishi wote, na wanaraha ile mbaya yaani hadi mimi napenda their relationship.
Mapenzi hayana kanuni, waweza kuoa nyumbani kwa uchumba wa miaka 10 bado mkakaa kwa makofi kibao, au mkakutana njiani mkaishi kama malaika. Ni uaminifu na" Art of Love"
 
Mwanahaki inawezekana kwa wengi huanzia hapo na kwakifupi mimi na shemlako tuna miaka mitano tulianzia kwenye sim kwa kukosea namba nilkuwa nje ya nchi nikakosea namba sautiniliyoiskia hapo nisriyangu nikaingiza fos king mwanzo anarusha nikipiga nakatiwa sim mara ina pokelewa nawekewa mziki hakuna mtuanaeongea mzee nkifiria sauti nakaseama hapa hatanikitumiwa polis hainashida nikanza SMS kaka nilitafut web zote za love cad nikawa natukanwa nikatumiwa msg toka kwa zakuonwa kama ntaendelea nitaripotiwa lakini mungu alisha weka sababutu ikatokea sikumoja nikatumia sim ya nijani nakuomba msamaha lakini nikajitambulisha kuwa sina nia mbaya tukanzakuongea mwisho wa yote mazee nikahamisha jumla sasa tuna mtoto wikike na mtarajiwa yupo njiani tunategemea mungu akitujalia na tunapendana kupita maelezo mtani kwetu wametupa jina la kumbikumbi kwakua kila sehem tupo benet mkuu kumkosa mwenzio hawezekani na nashukuru mungu jinsitunavyo ishi naupendo
kweli nimeipenda hii stail natamani ingekuwa mimiiiiiiii,mmh i wish i wish i wish it.....
 
Ntinginya nimeipenda hiyo hiyo na ina mvuto wake mpe hongera yangu shemeji na amwage ka ujembe JF. Ila nadhani kila mtu amepangiwa mwenza wake kwa njia mbalimbali ila kwa upande wangu mimi nadhani nikimtongoza mwanamke kwenye simu nammudu na kuelewana naye haraka kuliko kumnyelea sana na zaidi sana nikisafiri na mtu naogopa hata kumsemesha maana kitakachoendela ni kitu nisicho kitegemea maana tunaweza kuanza mahusiano ya ghafla mno.

Hivyo tukirudi kwenye mada nataka kumwambia dada yangu kuwa yanawezekana mapenzi ya waya kama utakuwa mwangalifu zaidi usije ingia chaka ila hautakuwa umejua mambo yake mengi kama wewe ni mdadisi wa
MBONA HII NGUMKWANGU WAKUU KUMPATA MTU USIEMJUA UKWANAE NA MAPENZI KAMILI SIJUI
 
Ntinginya nimeipenda hiyo hiyo na ina mvuto wake mpe
PHP:
hongera yangu shemeji na amwage ka ujembe JF. Ila nadhani kila mtu amepangiwa mwenza wake kwa njia mbalimbali ila kwa upande wangu mimi nadhani nikimtongoza mwanamke kwenye simu nammudu na kuelewana naye haraka kuliko kumnyelea sana na zaidi sana nikisafiri na mtu naogopa hata kumsemesha maana kitakachoendela
ni kitu nisicho kitegemea maana tunaweza kuanza mahusiano ya ghafla mno.

Hivyo tukirudi kwenye mada nataka kumwambia dada yangu kuwa yanawezekana mapenzi ya waya kama utakuwa mwangalifu zaidi usije ingia chaka ila hautakuwa umejua mambo yake mengi kama wewe ni mdadisi wa personal life ya mpenzi wako

Mkuu salamzako ntazifkisha lakini kumletahapa amwage kaujumbe ngum akizoea kina KAKAKIIZA wataniharibia ndoa
 
wakati wakionana ndo kila mmoja anaweza kumpenda mwenzake kwa dhati au la, kabla ya hapo kila mtu anakuwa na wasiwasi na mwenzake, hivyo nasema inawezekana sana tena sana na mkapendana kuliko unavyodhani !
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom