Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi inawezekana kweli watu wakafahamiana kupitia Internet, kisha wakaelewana mpaka wakaonana, na wakapendana mpaka wakaoana? Inawezekana?
Mwanahaki inawezekana kwa wengi huanzia hapo na kwakifupi mimi na shemlako tunamiaka mitano tulianzia kwenye sim kwa kukosea namba nilkuwa nje ya nchi nikakosea namba sautiniliyoiskia hapo nisriyangu nikaingiza fos king mwanzo anarusha nkipiga nakatiwa sim mara ina pokelewa nawekewa mziki hakuna mtuanaeongea mzee nkifiria sauti nakaseama hapa hataniki tumiwa polis hainashida nikanza SMS kaka nilitafut webu zote za love cad nikafaulu tukanzakuongea mwisho wa yote mazee nikahamisha jumla sasa tuna mtoto wikike na mtarajiwa yupo njiani tunategemea mungu akitujalia na tunapendana kupita maelezo mtani kwetu wametupa jina la kumbikumbi kwakua kila sehem tupo benet mkuu kumkosa mwenzio hawezekani na nashukuru mungu jinsitunavyo ishi naupendo
Mwanahaki inawezekana kwa wengi huanzia hapo na kwakifupi mimi na shemlako tuna miaka mitano tulianzia kwenye sim kwa kukosea namba nilkuwa nje ya nchi nikakosea namba sautiniliyoiskia hapo nisriyangu nikaingiza fos king mwanzo anarusha nikipiga nakatiwa sim mara ina pokelewa nawekewa mziki hakuna mtuanaeongea mzee nkifiria sauti nakaseama hapa hatanikitumiwa polis hainashida nikanza SMS kaka nilitafut web zote za love cad nikawa natukanwa nikatumiwa msg toka kwa zakuonwa kama ntaendelea nitaripotiwa lakini mungu alisha weka sababutu ikatokea sikumoja nikatumia sim ya nijani nakuomba msamaha lakini nikajitambulisha kuwa sina nia mbaya tukanzakuongea mwisho wa yote mazee nikahamisha jumla sasa tuna mtoto wikike na mtarajiwa yupo njiani tunategemea mungu akitujalia na tunapendana kupita maelezo mtani kwetu wametupa jina la kumbikumbi kwakua kila sehem tupo benet mkuu kumkosa mwenzio hawezekani na nashukuru mungu jinsitunavyo ishi naupendo
Hivi inawezekana kweli watu wakafahamiana kupitia Internet, kisha wakaelewana mpaka wakaonana, na wakapendana mpaka wakaoana? Inawezekana?
Huyo Prof. si kwamba anajua yote, ila kuna jamaa yangu alikuwa anatafuta namba inayofanana na ile aliyonayo, akampata mdada wakati wa kujaribu.prof. wangu aliwahi kunambia distance love ni ngumu saana, but mkifanikiwa hadi kuja kuishi pamoja, that will add unique spice in your life.
back to topic, yep inawezekana but kuwa muangalifu.. saana
kweli nimeipenda hii stail natamani ingekuwa mimiiiiiiii,mmh i wish i wish i wish it.....Mwanahaki inawezekana kwa wengi huanzia hapo na kwakifupi mimi na shemlako tuna miaka mitano tulianzia kwenye sim kwa kukosea namba nilkuwa nje ya nchi nikakosea namba sautiniliyoiskia hapo nisriyangu nikaingiza fos king mwanzo anarusha nikipiga nakatiwa sim mara ina pokelewa nawekewa mziki hakuna mtuanaeongea mzee nkifiria sauti nakaseama hapa hatanikitumiwa polis hainashida nikanza SMS kaka nilitafut web zote za love cad nikawa natukanwa nikatumiwa msg toka kwa zakuonwa kama ntaendelea nitaripotiwa lakini mungu alisha weka sababutu ikatokea sikumoja nikatumia sim ya nijani nakuomba msamaha lakini nikajitambulisha kuwa sina nia mbaya tukanzakuongea mwisho wa yote mazee nikahamisha jumla sasa tuna mtoto wikike na mtarajiwa yupo njiani tunategemea mungu akitujalia na tunapendana kupita maelezo mtani kwetu wametupa jina la kumbikumbi kwakua kila sehem tupo benet mkuu kumkosa mwenzio hawezekani na nashukuru mungu jinsitunavyo ishi naupendo
Hapo kwenye red sijakusoma vizuri!!Hivi inawezekana kweli watu wakafahamiana kupitia Internet, kisha wakaelewana mpaka wakaonana, na wakapendana mpaka wakaoana? Inawezekana?
Ntinginya nimeipenda hiyo hiyo na ina mvuto wake mpe hongera yangu shemeji na amwage ka ujembe JF. Ila nadhani kila mtu amepangiwa mwenza wake kwa njia mbalimbali ila kwa upande wangu mimi nadhani nikimtongoza mwanamke kwenye simu nammudu na kuelewana naye haraka kuliko kumnyelea sana na zaidi sana nikisafiri na mtu naogopa hata kumsemesha maana kitakachoendela ni kitu nisicho kitegemea maana tunaweza kuanza mahusiano ya ghafla mno.
Hivyo tukirudi kwenye mada nataka kumwambia dada yangu kuwa yanawezekana mapenzi ya waya kama utakuwa mwangalifu zaidi usije ingia chaka ila hautakuwa umejua mambo yake mengi kama wewe ni mdadisi wa
MBONA HII NGUMKWANGU WAKUU KUMPATA MTU USIEMJUA UKWANAE NA MAPENZI KAMILI SIJUI
Ntinginya nimeipenda hiyo hiyo na ina mvuto wake mpeni kitu nisicho kitegemea maana tunaweza kuanza mahusiano ya ghafla mno.PHP:hongera yangu shemeji na amwage ka ujembe JF. Ila nadhani kila mtu amepangiwa mwenza wake kwa njia mbalimbali ila kwa upande wangu mimi nadhani nikimtongoza mwanamke kwenye simu nammudu na kuelewana naye haraka kuliko kumnyelea sana na zaidi sana nikisafiri na mtu naogopa hata kumsemesha maana kitakachoendela
Hivyo tukirudi kwenye mada nataka kumwambia dada yangu kuwa yanawezekana mapenzi ya waya kama utakuwa mwangalifu zaidi usije ingia chaka ila hautakuwa umejua mambo yake mengi kama wewe ni mdadisi wa personal life ya mpenzi wako
kweli nimeipenda hii stail natamani ingekuwa mimiiiiiiii,mmh i wish i wish i wish it.....
:doh::doh::doh::nono::nono::nono:Wanakutisha bure!!!Mkuu salamzako ntazifkisha lakini kumletahapa amwage kaujumbe ngum akizoea kina KAKAKIIZA wataniharibia ndoa
:doh:Umeniacha Hapo kwenye red msamiati mpya??tafadhali!Wakuchakachua usije kufanya ufisad kwa shem wako mkanishakashua kama
Wakuchakachua usije kufanya ufisad kwa shem wako mkanishakashua kama