Eizyek
JF-Expert Member
- Aug 12, 2019
- 800
- 2,767
Wapendwa habari ya jioni ................ leo jion natoka zangu kwenye mizunguko yangu nikapigiwa simu na mpenzi wangu ambae tupo mbali yeye yupo mkoa mwengine na mimi mkoa mwengine baada ya salama mbili tatu na kusalimiana vizur akaniambia. anaumwa na uo mkoa yupo kufanya shuuli za wazazi wake. nikamuuliza wazazi umeewaambia ananiambia no sijawaambia nimemuuliza shida nini anasema naogopa kumpa mama stress.. nikamwambia ni vizur ukamwambia akasema apana nikammpa pole na kukata simu ..............
baada ya mda ananipigia tena na kwa number ngeni na kuniambia naomba unitumie pesa nikamuuliza ii number ya nani akasema ya jirani yake nikamuuliza shingapi nikutumie akasema 40k nikasema sawa na kuuliza jina litakalo kuja kwenye malipo navotuma. Nakuta anamuuliza sauti inajibu ya kiume mwambie flani apo apo machale yakanicheza nikasema sawa na kukata simu...... nikawaza na kuwazua nikaona nitume 20k na kubaki kimya nakuta ananipigia uku amechukia na kusema mbona umetuma 20k baada ya 40k ndo nini nikamwambia sina iyo ela kwa sasa kuna emergency nimepata kidogo amekata tu cm na mimi nimevunga
Ila nimejua mapenzi pesa apa naona anaweza vungiwa mazima maana kutuma pesa afu anatumbua na fala mwengine uo ujinga siwezi
baada ya mda ananipigia tena na kwa number ngeni na kuniambia naomba unitumie pesa nikamuuliza ii number ya nani akasema ya jirani yake nikamuuliza shingapi nikutumie akasema 40k nikasema sawa na kuuliza jina litakalo kuja kwenye malipo navotuma. Nakuta anamuuliza sauti inajibu ya kiume mwambie flani apo apo machale yakanicheza nikasema sawa na kukata simu...... nikawaza na kuwazua nikaona nitume 20k na kubaki kimya nakuta ananipigia uku amechukia na kusema mbona umetuma 20k baada ya 40k ndo nini nikamwambia sina iyo ela kwa sasa kuna emergency nimepata kidogo amekata tu cm na mimi nimevunga
Ila nimejua mapenzi pesa apa naona anaweza vungiwa mazima maana kutuma pesa afu anatumbua na fala mwengine uo ujinga siwezi