shalomK
Member
- Nov 26, 2012
- 6
- 1
Napenda tuanze na swali hili ili tuweze kujenga msingi wa
kile tunacho taka kukiongelea hapa.Mara nyingi mahusiano na mapenzi yanakua mazuri sana mwanzoni,
Lakini baada ya mda flani,mahausiano hayo hayo yanageuka na kua kama shubiri baina ya wawili walio kua
wanapendana sana hapo mwanzo,sababu ni zipi?
Tuta fanya nini ili mahusiano yasivunjike hovyo kama tunavo ona sasa?
wapo wanao lilia kuingia katika uwanja wa mapenzi na wapo pia wanao lia ndani ya uwanja wa mapenzi,
Tuwa saidie vipi wale wanaotaka kuingia katika mapenzi ili wayajue vyema na watambue wanaingia katika
ulimwengu gani,na wale walioko kwenye mapenzi/mahusiano tayari watambue umuhimu wake?
karibuni wadau kwa michango yenu .
kile tunacho taka kukiongelea hapa.Mara nyingi mahusiano na mapenzi yanakua mazuri sana mwanzoni,
Lakini baada ya mda flani,mahausiano hayo hayo yanageuka na kua kama shubiri baina ya wawili walio kua
wanapendana sana hapo mwanzo,sababu ni zipi?
Tuta fanya nini ili mahusiano yasivunjike hovyo kama tunavo ona sasa?
wapo wanao lilia kuingia katika uwanja wa mapenzi na wapo pia wanao lia ndani ya uwanja wa mapenzi,
Tuwa saidie vipi wale wanaotaka kuingia katika mapenzi ili wayajue vyema na watambue wanaingia katika
ulimwengu gani,na wale walioko kwenye mapenzi/mahusiano tayari watambue umuhimu wake?
karibuni wadau kwa michango yenu .