Mapenzi na mahusiano ya Vyuoni

Mtoto wa watu nimeenda chuo mtu mwema kabisa,
Semester ya kwanza nikakaa hostel kwa hiyo nikaishia kuwa na friends tu basi.
Semester ya pili nikaingia maghettoni.
Hapa ndo shida ilipoanzia,siku moja nikakutana na mtoto mmoja rusha nyavu imoo.
Siku aliponitembelea maghettoni kaacha vitu kadhaa.
Mwisho wa siku kahamia kabisa sema uzuri wake nikikwama kwenye ishu za kodi ananipiga tafu.
Huyu alikuwa kanitangulia chuo.
Nimeishi naye mpaka kamaliza akasema akasalimie kwao atarudi ikawa mazima.
Nikimcheki naona kama mawasiliano yanapungua.
Nikamchana tu "distance relationship tunadanganyana" tubaki marafiki tu.
Mwaka wa pili vuta chombo nyingine nikaishi naye mwaka wote.
Mwaka wa tatu nikaruka na mwingine mpaka mwaka ukakata.
Mwaka wa mwisho(wa nne) nikasema sasa hivi nahitaji kutafuta wife sasa mambo ya kurukaruka nayaacha.
Nikaiibukia pisi moja hivi ikawa inanizungusha tu"eti tubaki kuwa marafiki tu"
Nikampotezea nikahamia mtaani kwa dada mmoja muuza bucha la nyama
Mpaka tukaja kuoana.
To cut the long story short yule dada aliyeniambia tubaki marafiki alipojua nadate na yule mdada wa buchani akaniambia eti alikuwa ananipima kama nina mapenzi ya kweli ila ndo hvyo sasa alikuwa kashachelewa.
Ila sikulaza damu nilitia chapa kabla sijamuoa yule demu wangu wa buchani na tukabaki marafiki kama alivyotaka
Legendary
 
Hapa nimejitahidi nilikuwa nae mmoja tu tatizo ana wivu kisha ana mtoto. Baada ya kugundua ana mtoto nikahisi usikute mke wa mtu. Hajawahi nipiga kizinga hata sema tangu yule jamaa achomwe kisu nilishtuka.
Kwahyo ulimuacha mkuu.. ahahaa
 
Duh!! Nilikuwa nae ila tuliachana baada ya kumpa mimba afu nilihudumia tulipo maliza chuo akanikataa akakatalia na mtoto na nilienda kwao akasema hanijui
Nashukuru mungu niliacha yakapita..sikuizi naona kamekuwa keusii afu kafupii kanakitambi wajuba wanajipigia tu ukiwa mbali unaweza Sena kafurushi
Kalijiunga na chama flani na kamepiwa chini kwenye kura za maoni....
Huwa najiuliza hivi mm ndo nilkuwa nakosa usingiz kisa huyu nabaki kucheka tu
 
maisha ya chuo yalivyo si rahisi, kuna rafiki angu alikua mtu wa din sana bt uzalendo ulimshinda mwaka wa pili aliwatafuna mpaka basi... yale mazingira yanahamasisha mahusiano hivo si rahisi kukwepa
Akili ikiwa ndogo huzidiwa na tamaa za nafsi...
 
Kwahyo ulimuacha mkuu.. ahahaa
Nimemuacha maana ana tabia kinyume na matarajio. Ananiganda kila sehemu, anataka nimsindikize popote anapoenda, ana wivu sijawahi ona mpaka nikiwa kwenye group disc anakuja kukaa pale nilipo n hachangii wala hausiki kwenye group.

Siku moja nikawa na manzi mmoja mrembo sema nawaheshimu sana walokole, aliniomba nimpige picha tukawa tunazunguka around. Ghafla naona mtu huyo anatufata nikamtext kwamba aondoke akanuna sijawahi ona. Bahati mbaya sipo romantic (ndo maana hata sikushtuka nilipogundua ana mtoto) na ni no nonsense. Siku mbili mbele yule jamaa wa SUA akachomwa kisu, nikaona hamna maisha hapa ubatili mtupu.
 
Back
Top Bottom