Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 8,988
- 25,101
Sa itakuwaje kwa sie ambao hatukuenda chuo mkuu
we tulia
Sa itakuwaje kwa sie ambao hatukuenda chuo mkuu
uliwezaje mkuu?mimi apa
mkuu unatania.Am here...
Hadithia tu hata zile za vichakani..!Sa itakuwaje kwa sie ambao hatukuenda chuo mkuu🤔
naunga mkono hoja.laiti kama huu uzi ungekaa na kuuandika vzr mtoa mada, bas huu uzi ungweza kufikisha coment kama za rickboy "ulishawah kula tunda kimasiara"
🤪🤪ngoja niendelee kuwa mpenzi msomaji comments tuwe tulia
Yupo Mpeta Uvinza HukoMapenzi na chuo..
pilipili kichaa tuu Saiv upo wap mkuu
Sahihisidhani kama kuna aliemaliza chuo bila kujiingiza kwenye mahusiano.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka kifala sanaHadithia tu hata zile za vichakani..!
Ukimaliza unavaa harakaharaka baadae ukija kuvua kwenye Pichu unakuta majani mpk ya kisamvu..😂
Hapo unasema the show was amazing..😂
Si ndo Mambo yako..😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka kifala sana
Nilipokuwa chuo mwaka wa kwanza nilikuwa bado nina mapenzi mazito na binti nilomuacha kitaa enzi hizo....kuingia mwaka wa pili ndo nikaanza kuoa oa hapo chuoni....karibia kila semester nilikuwa naishi na demu mpya gheto kwangu....mabinti wa Diploma na certificate wanapenda sana mteremko chuo wakijua uko unasoma Bachelor.... Tulikuwa tunabadilishana sana mademu na masela yaaani...mpaka nawaza binti yangu itakuwaje akienda chuo dahWakuu...
Kwa wale ambao tumesoma hadi ngazi za vyuo (diploma, certificate, Degree n.k), kwa namna moja au nyingine, baadhi tulipata kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi.
Mimi nilipoanza first year tu pale chuo cha mlimani, nioikutana na mtoto mmoja wa kichaga ktk registration, tukajenga urafiki na kuzunguka wote chuo kipindi chote cha orientation, na tulipopata boom la kwanza nikamwomba nimtoe out akakubali. Tulivyokua dinner nikamwaga verse akakubali na siku ile nikala tunda.
Aliendelea kuwa mpenzi wangu hadi mwaka wa tatu alipovishwa pete ya uchumba na jamaa flan wa in service ambaye alikua keshatoa posa kabla ya kuja chuo. Tuliachana baada ya tukio hilo.
Nitaelezea mahusiano yangu mengine mengi huko chini.
Je ulipokua chuoni ulikua na mahusiano ya kimapenzi na mwanachuo mwenzako? Uhusiano ulidumu? Mlipomaliza chuo uliendelea nae?
Why nitanie!? Its serious issue.ni kuamua tuu joh...mkuu unatania.
mkuu unawaza kama mimi bt akishafika chuo huyo kashakua hata wamchakate sawa tu.Nilipokuwa chuo mwaka wa kwanza nilikuwa bado nina mapenzi mazito na binti nilomuacha kitaa enzi hizo....kuingia mwaka wa pili ndo nikaanza kuoa oa hapo chuoni....karibia kila semester nilikuwa naishi na demu mpya gheto kwangu....mabinti wa Diploma na certificate wanapenda sana mteremko chuo wakijua uko unasoma Bachelor.... Tulikuwa tunabadilishana sana mademu na masela yaaani...mpaka nawaza binti yangu itakuwaje akienda chuo dah
maisha ya chuo yalivyo si rahisi, kuna rafiki angu alikua mtu wa din sana bt uzalendo ulimshinda mwaka wa pili aliwatafuna mpaka basi... yale mazingira yanahamasisha mahusiano hivo si rahisi kukwepaWhy nitanie!? Its serious issue.ni kuamua tuu joh...
Niambie niandikeje nita edit tulaiti kama huu uzi ungekaa na kuuandika vzr mtoa mada, bas huu uzi ungweza kufikisha coment kama za rickboy "ulishawah kula tunda kimasiara"
Hapa ManyoniMapenzi na chuo..
pilipili kichaa tuu Saiv upo wap mkuu
Malipo hapa hapa duniani nyoko wee..Binti yako tunamsubiri kwa hamuNilipokuwa chuo mwaka wa kwanza nilikuwa bado nina mapenzi mazito na binti nilomuacha kitaa enzi hizo....kuingia mwaka wa pili ndo nikaanza kuoa oa hapo chuoni....karibia kila semester nilikuwa naishi na demu mpya gheto kwangu....mabinti wa Diploma na certificate wanapenda sana mteremko chuo wakijua uko unasoma Bachelor.... Tulikuwa tunabadilishana sana mademu na masela yaaani...mpaka nawaza binti yangu itakuwaje akienda chuo dah