Mapenzi na jino kipi kinauma Zaidi?

Wana JF, jana nikiwa pande za Beach na madada nikawasikia wanasema eti MAPENZI yanauma, sasa kila nikifikiria sipati jibu. Haya mapenzi yanauma vipi.

Kwakua nilishawai kuumwa jino basi haraka nikafananisha kama maumivu ya JINO. Sasa sijui kati ya JINO na MAPENZI kipi kinauma zaidi.

Naombe sana kwa anayejua


Unaposema mchuzi wa kuku ni mtamu je maana yake huo mchuzi umeungwa sukari??--- kuna aina mbalimbali za utamu na ndivyo ilivyo kwa maumivu, kuna aina mbalimbali za maumivu.
 
Mapenzi yanauma zaidi
Jino unang'oa unaweka bandia maisha yanaendelea.
Mapenz hayana mbadala.
 
Wana JF, jana nikiwa pande za Beach na madada nikawasikia wanasema eti MAPENZI yanauma, sasa kila nikifikiria sipati jibu. Haya mapenzi yanauma vipi.

Kwakua nilishawai kuumwa jino basi haraka nikafananisha kama maumivu ya JINO. Sasa sijui kati ya JINO na MAPENZI kipi kinauma zaidi.

Naombe sana kwa anayejua
Jino
Mapenzi ya sasa wai anaenda anakuja mwingine mpaka ipo siku atabaki tu mmoja na ndio muelewa kakuelewa .
Mnayajenga zamani unalia sana maana walikuwa afadhali saivi woi wapo tu
 
Wana JF, jana nikiwa pande za Beach na madada nikawasikia wanasema eti MAPENZI yanauma, sasa kila nikifikiria sipati jibu. Haya mapenzi yanauma vipi.

Kwakua nilishawai kuumwa jino basi haraka nikafananisha kama maumivu ya JINO. Sasa sijui kati ya JINO na MAPENZI kipi kinauma zaidi.

Naombe sana kwa anayejua
inategemea una wapenzi wangapi, mimi nafikiri jino ndiyo kiboko !! mpenzi tena ?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom