Mapenzi na jino kipi kinauma Zaidi?

BEDUI Jr

JF-Expert Member
Dec 15, 2016
2,041
2,836
Wana JF, jana nikiwa pande za Beach na madada nikawasikia wanasema eti MAPENZI yanauma, sasa kila nikifikiria sipati jibu. Haya mapenzi yanauma vipi.

Kwakua nilishawai kuumwa jino basi haraka nikafananisha kama maumivu ya JINO. Sasa sijui kati ya JINO na MAPENZI kipi kinauma zaidi.

Naombe sana kwa anayejua
 
Jino linauma mbayaaa ila likipata dawa au liking'olewa vizuri maumivu yanatokomea kabisa. Lakini maumivu ya mapenzi hata ukiyapatia suluhisho bado yataendelea kukutesa. Maumivu hayo huisha polepole mno na usipopata replacement yake ya ukweli, utaendelea kuumia.
Ni hayo tu.
 
si kila aliyepata maumivu ya jino umeumizwa/jeruhiwa na mapenzi na wengi wanaumizwa na mapenzi bila kukumbana na kadhia za meno.

Kikubwa vyote vinatibika na mtu huweza kuendelea na maisha yake hata akasahau maumivu aliyopata kukumbana nayo.
 
Back
Top Bottom