prianka
JF-Expert Member
- Aug 29, 2012
- 684
- 168
Inakuaje msichana unapo tongozwa na kila mwanaume ni lazima umkubalie na unapo ulizwa unaye m2 wako unaktaa hata kama unaye niki2 gani kinacho sababasha zaidi m2 kufanya hivyo ni swali nimeulizwa na rafiki yangu anaomba ushauri maana imeisha mtokea sana anasema hawezi kumkatalia mwanaume ila anatamani kutofanya hivyo