Yeye kasema hivyo, wewe unataka aseme kulingana na akili yako! Kama ni kweli hilo liwe funzo kwa wanao waita wafadhili wao mabuzi. Vasco da Gamba alikwisha sema "ukitaka kula cha mwenzio nawewe ukubali kuliwa"
Du huu ni ukatili uliopitiliza; kama kakunyima kwa nini uishie huku? Baada ya kumfanyia hili uanjisikiaje moyoni? ukijaaliwa watoto wa kike mungu lazima kaulipizie hapa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.