Mapenzi mabaya nyie acheni tu - Chris Brown ashindwa kujizuia

GTA

JF-Expert Member
Jul 25, 2013
878
649
Karrueche Tran ni mwanamke ambaye Chris Brown hatokuja kumsahau kamwe. Sijui alimpa lini lakini tunachofahamu ni kuwa pamoja na kuachana, bado hitmaker huyo wa Party amekuwa akifuatilia kila nyendo za mrembo hiyo ikiwemo kuwamind wanaume wanaommendea.
15535116_185506035251526_8884230033204314112_n.jpg

Mrembo huyo ambaye baada ya kuachana na Chris Brown anaonekana kuwa bado yupo single, amepost picha hiyo juu kwenye Instagram na kuweka caption rahisi ‘Baby.’

Kwenye picha hiyo, mrembo huyo anaonekana amevaa t-shirt nyeusi yenye picha za muimbaji wa UK, Sade na pia akiwa amevaa nguo ya ndani pekee yenye rangi nyekundu.

Macho ya Breezy yalivutiwa na alichokiona na kujikuta akicomment: Still want it.”
15625070_395637230780616_5820305363303399424_n.jpg
 
NI MWANAMKE AMBAE CHRIS BROWN HATOKUJA KUMSAHAU KAMWE...... are u sure?
 
Huyu dem kuna kitu cha ziada alimpa jamaa sio bureee! Moyo mashineee
 
Chris brown Yupo inlove na mademu ambao wana asili ya Asia, hasahasa China,
ndomana hadi mwanae Royalty ana asili kama asia ivi,
 
Mleta mada acha kuzunguka kama tairi, we sema tu lengo la hii topic ni kuonye hiyo Camel toe tu.
 
Rihana asili yake ni wapi ? Au alikuwa Muhindi mweusi ?
Skiza wimbo wa wizkid shaba, chris brown ametaja Jamaican and haitian, so Yupo pia inlove na madem wenye swaga za kijamaica kama rihanna, alafu check video zake zaidi ya tatu CB ameshoot kwa mahadhi ya china,
FINE CHINA, AUTUMN LEAVES, etc
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom