Msamiati
R I P
- Mar 6, 2011
- 1,063
- 697
Kwa kweli nimejikaza sana lakini nimeona ni kheri ni hoji...... Kwa muujibu wa imani zote za dini hususan ukristo na uisilamu kufanya mapenzi kabla ya kuoana ni uzinzi, wakati huo huo tunafundishwa kuhusu uchumba kuwa ni kipindi cha kuangalliana, kuchunguzana, kuelewana na kuridhiana kabla ya kuoana
swali Je kuchunguzana huko kunakamilikaje bila kuthibitisha background ya mwenzi wako kwenye mahusiano? inakuwaje kama umemuoa halafu unakuja kugundua kuwa amesha sex zaidi ya mara 5000 ukizingatia kuwa kwetu wakristo ukioa hutakiwi kuacha.
mimi ni mkristo ninamashaka na mafundisho tunayopewa kwenye imani yetu juu ya hili.
HOJA Luka 16:18 "kila amuachaye mke na kuoa mke mwengine azini naye amwoaye yeye alieachwa na mumewe azini"
hapa najifunza kuwa uzinzi/zinaa ni kuacha na kuoa mwingine au kuoa alieachwa na sio kufanya mapenzi kabla ya ndoa.
SWALI Ukiwa kama mzazi, mlezi, ndugu au mshauri mwenye mapenzi mema kweli kabisa kutoka moyoni utamshauri kijana anaetaka kuoa
(a) achunguze vyote lakini asimguse mwenzi wake mpaka atakapomuoa,,,,,,,!
ama
(b) asithubutu kuoa kabla ya kufanya nae mapenzi?
mwisho wa hoja yako andika jibu a au b tafadhali
swali Je kuchunguzana huko kunakamilikaje bila kuthibitisha background ya mwenzi wako kwenye mahusiano? inakuwaje kama umemuoa halafu unakuja kugundua kuwa amesha sex zaidi ya mara 5000 ukizingatia kuwa kwetu wakristo ukioa hutakiwi kuacha.
mimi ni mkristo ninamashaka na mafundisho tunayopewa kwenye imani yetu juu ya hili.
HOJA Luka 16:18 "kila amuachaye mke na kuoa mke mwengine azini naye amwoaye yeye alieachwa na mumewe azini"
hapa najifunza kuwa uzinzi/zinaa ni kuacha na kuoa mwingine au kuoa alieachwa na sio kufanya mapenzi kabla ya ndoa.
SWALI Ukiwa kama mzazi, mlezi, ndugu au mshauri mwenye mapenzi mema kweli kabisa kutoka moyoni utamshauri kijana anaetaka kuoa
(a) achunguze vyote lakini asimguse mwenzi wake mpaka atakapomuoa,,,,,,,!
ama
(b) asithubutu kuoa kabla ya kufanya nae mapenzi?
mwisho wa hoja yako andika jibu a au b tafadhali