LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,631
Juzi nimepata mtihani kwa kweli sina cha kumshauri huyu ndugu yangu ni mwanamke ana miaka 29 ana mtoto mmoja aliyezaa na mwanaume wa Tanga nimpe jina la X mwenye miaka 40 (Mimi humuita kaka) na kutokana na sababu zao za kikazi mwanaume anaishi Dar mwanamke anaishi Tanga (wote ni waajiliwa).
Kwa nilivyoona mimi mwanzo wa mapenzi yao walipendana japo kwa muda mchache wa likizo (mwanamke ni Mwalimu) mwanamke alikua akiutumia Dar kwa wenziwake,yaonyesha alipokua akiondoka basi huku nyuma mwanaume alikua akifungulia wanawake wengine mpaka kufikia kumpa mimba mdada mmoja anayesemekana aliishi kwenye ndoa miaka 10 bila mtoto ndipo jamaa (X) akamtungisha mimba awali alifanya siri kwa Girlfriend wake ambae watoto wao kwenye kuzaliwa walipishana miezi 7.
Baadae mwanaume akaona amueleze huyu Mwl wa Tanga kua amezaa na mwanamke mwingine lakini kwa madai yake ya wakati ule alidai hana mpango na huyo mwanamke, ila huyu dada Mwl yeye ilimuuma kuona mwanaume wake kam cheat mpaka kuzaa na mwanamke mwingine matokeo yake ikawa ni maugomvi kila wakati na bwana wake mwisho waliachana wakati mtoto akiwa na miezi mi 3 tu'
Mwanamke alikua akija ananililia sana kulalamika kwann X alimtenda hivyo na kumpotezea muda ila Mimi kama mzazi nilikua nikimtia moyo tu kua ipo siku wataelewana kama Mungu alimpangia awe wake wakwe wa Tanga wanafiki tunajuana wenyewe kwetu kule ukimleta mwanamke huyu ukimleta yule wao wanapokea tu wala hawamuhoji kijana wao, Mwl. Akaamua ajiweke pembeni mbali na wakwe zake na hata jamaa.
Sasa Bi Dada kanijia ananiambia baba mtoto wake kamtafuta kamuomba msamaha anamuomba warudiane baada ya kuachana tangu 2015 mtoto akiwa na miezi mi 3 sasa ana miaka mi 3 kasoro miezi mi 2 ameenda Deep na kusema ukweli ana mpenda baba mtoto wake sana na tangu hapo yeye hajawahi kua na mwanaume mwingine Kwani anawaona hawa fit kwenye moyo wake hivyo kurudi kwa jamaa anakufurahia japo kunamtia wasiwasi na kutokua na imani nae hivyo amemuitikia tu japo moyo unamsita sita.
Mimi nimemwambia asikilize moyo wake,japo awe makini nae lakini pia ni wakati sasa waache kuzini Kama kweli huyo bwana amerejea mazima basi aanze kurasimisha mahusiano yao yawe ya heshima kwa M/Mungu na hata kwa binadamu,jibu alilopewa ni kwamba mwanaume ameomba wapeane miezi mi 4 waangaliane kama wanaweza kwenda kwenye hatua ya ndoa.
Binafsi yangu sifurahii huyu dada kurudiana na mbondei yule ila najua huyu dada anampenda sana mwanaume wake na kwa miaka yote hii mwanaume amekua mbali amekua akiishi kwa masikitiko sana
Kwa nilivyoona mimi mwanzo wa mapenzi yao walipendana japo kwa muda mchache wa likizo (mwanamke ni Mwalimu) mwanamke alikua akiutumia Dar kwa wenziwake,yaonyesha alipokua akiondoka basi huku nyuma mwanaume alikua akifungulia wanawake wengine mpaka kufikia kumpa mimba mdada mmoja anayesemekana aliishi kwenye ndoa miaka 10 bila mtoto ndipo jamaa (X) akamtungisha mimba awali alifanya siri kwa Girlfriend wake ambae watoto wao kwenye kuzaliwa walipishana miezi 7.
Baadae mwanaume akaona amueleze huyu Mwl wa Tanga kua amezaa na mwanamke mwingine lakini kwa madai yake ya wakati ule alidai hana mpango na huyo mwanamke, ila huyu dada Mwl yeye ilimuuma kuona mwanaume wake kam cheat mpaka kuzaa na mwanamke mwingine matokeo yake ikawa ni maugomvi kila wakati na bwana wake mwisho waliachana wakati mtoto akiwa na miezi mi 3 tu'
Mwanamke alikua akija ananililia sana kulalamika kwann X alimtenda hivyo na kumpotezea muda ila Mimi kama mzazi nilikua nikimtia moyo tu kua ipo siku wataelewana kama Mungu alimpangia awe wake wakwe wa Tanga wanafiki tunajuana wenyewe kwetu kule ukimleta mwanamke huyu ukimleta yule wao wanapokea tu wala hawamuhoji kijana wao, Mwl. Akaamua ajiweke pembeni mbali na wakwe zake na hata jamaa.
Sasa Bi Dada kanijia ananiambia baba mtoto wake kamtafuta kamuomba msamaha anamuomba warudiane baada ya kuachana tangu 2015 mtoto akiwa na miezi mi 3 sasa ana miaka mi 3 kasoro miezi mi 2 ameenda Deep na kusema ukweli ana mpenda baba mtoto wake sana na tangu hapo yeye hajawahi kua na mwanaume mwingine Kwani anawaona hawa fit kwenye moyo wake hivyo kurudi kwa jamaa anakufurahia japo kunamtia wasiwasi na kutokua na imani nae hivyo amemuitikia tu japo moyo unamsita sita.
Mimi nimemwambia asikilize moyo wake,japo awe makini nae lakini pia ni wakati sasa waache kuzini Kama kweli huyo bwana amerejea mazima basi aanze kurasimisha mahusiano yao yawe ya heshima kwa M/Mungu na hata kwa binadamu,jibu alilopewa ni kwamba mwanaume ameomba wapeane miezi mi 4 waangaliane kama wanaweza kwenda kwenye hatua ya ndoa.
Binafsi yangu sifurahii huyu dada kurudiana na mbondei yule ila najua huyu dada anampenda sana mwanaume wake na kwa miaka yote hii mwanaume amekua mbali amekua akiishi kwa masikitiko sana